tiztizo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 285
- 226
w
e unashangaa huyo alochumbiwa??hapa nilipopanga wapo wamama wawili na wote nawala kimya kimya,,wote hawajui,,kisa tu nawapaga elfu kumi kumi,,,mmoja anakujaga geto usiku mnene,,namkuna vizuri ikifika saa kumi anarudi zake na kikanga chake kama katoka uani vile,,uzuri wa huyu ananipa kwa kujitolea ata kama sijampa ela mda mrefu,,na hua namwambia asionyeshe dalili zozote kama namla,,mwingine nammalizia huko lodge,,,basi ndo ivo yuaaanYaani nilikaa na mdada fulani hivi jana, alipokea simu kutoka kwa wakaka kama watano hivi kila mmoja anamuomba hela mara ya nywele, mara anunue simu... Na ana mchumba ake jamani!... Tena wengine ndo kwanza kakutana nao mitandaoni... Na wanaume wanamtumia aisee... Ivi bado kuna wanaume wanapigwa mizinga ya kijinga hivi!?
Ila uzuri wa huyu mdada ukipa hela ndefu lazima tu akupe papuchi!!! Ni mroho wa hela saana na aoni aibu kuomba hela.

