Recent content by wandamba

  1. W

    Shaka apongeza ujenzi kituo cha afya Kitama

    Na Mwandishi wetu, Mihambwe KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na uenezi, Shaka Hamdu Shaka amepongeza ujenzi kituo cha Afya cha Kitama na kuhaidi kuishauri Serikali kuongeza fedha na kuleta Wataalam ili kituo hicho kikamilike na kianze kufanya kazi ya kuwahudumia...
  2. W

    Shilatu afurahishwa utekelezaji mashamba shuleni

    Na Mwandishi wetu Mihambwe, Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amefanya ziara kujionea utekelezaji wa uwepo wa mashamba kwa shule za msingi na sekondari zilizopo Tarafa ya Mihambwe ambapo ameridhishwa na kupongeza shule zote zilizotekeleza agizo hilo. Akizungumza mara baada ya ziara hiyo...
  3. W

    Mihambwe wajivunia mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani

    Na Mwandishi wetu Mihambwe, Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amezungumzia mwaka mmoja wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan madarakani kuwa wenye mafanikio na wakijivunia mafanikio tele yaliyopatikana kwenye nyanja mbalimbali za kielimu, afya, kichumi na...
  4. W

    Shilatu amefanya ziara kujiridhisha uhalisia wa upatikanaji wa chakula kwa Wanafunzi wote wa shule za msingi na sekondari zilizopo Tarafa ya Mihambwe

    Na Mwandishi wetu Mihambwe Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amefanya ziara kujiridhisha uhalisia wa upatikanaji wa chakula kwa Wanafunzi wote wa shule za msingi na sekondari zilizopo Tarafa ya Mihambwe ambapo ameridhishwa na upatikanaji huo wa chakula lishe kwa Wanafunzi. Gavana Shilatu...
  5. W

    Rais Samia, Super Woman

    Na Emmanuel J. Shilatu Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wanawake wote, heri ya siku ya Mwanamke! Tunaadhimisha siku ya Mwanamke tukiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (SSH), Mwanamke kiongozi wa kipekee Tanzania. Unapozungumzia Rais...
  6. W

    Shaka Hamdu Shaka atuma neno kwa Freeman Mbowe amsifu Rais Samia

    NUKUU ZA KATIBU WA NEC - ITIKADI NA UENEZI WA CCM TAIFA NDG. SHAKA HAMDU AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MARA BAADA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA BENKI YA CRDB JIJINI DAR ES SALAAM, LEO MACHI 05,2022 . #ChamaImara #KaziIendelee
  7. W

    Shilatu awafariji waliopata maafa Mihambwe

    Na Mwandishi wetu Mihambwe, Mwenyekiti Kamati ya ulinzi na usalama Tarafa ya Mihambwe ambaye pia ni Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu mapema leo Februari 22, 2022 amewafariji wakazi wa vijiji vya Mihambwe na Ruvuma kufuatia jana Jumatatu Februari 21, 2022 kutokea kadhia ya upepo mkali...
  8. W

    #COVID19 Wauguzi Mihambwe wapongezwa kwa kuongoza kiwilaya kwa utoaji wa chanjo ya Uviko-19

    Na Mwandishi wetu, Mihambwe Wauguzi wa Zahanati ya Mihambwe iliyopo Kata ya Mihambwe Tarafa ya Mihambwe wamepongezwa kwa kuongoza wa kwanza kiwilaya kwa wingi wa utoaji wa huduma ya chanjo ya Uviko 19 kwa Watu. Hayo yamebainishwa Leo Jumanne Februari 1, 2022 wakati wa ziara iliyofanywa na...
  9. W

    Rais Samia ameleta neema kwa jamii

    Na Mwandishi wetu Mihambwe Miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa nchi nzima imeleta neema na unafuu mkubwa kwa jamii. Hayo yamebainishwa na Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu wakati alipofanya ziara ya kawaida ya ukaguzi wa miradi wa maendeleo ya Elimu ya ustawi wa jamii kwa Taifa...
  10. W

    Wananchi Mihambwe wajitokeza kuiunga mkono Serikali

    Na Mwandishi wetu Mihambwe Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe wamejitokeza kwa wingi kuiunga mkono Serikali kwenye hatua ya ujenzi wa vyumba vya madarasa yanayotokana na fedha za mpango wa maendeleo na ustawi wa jamii dhidi ya mapambano ya uviko 19. "Namshukuru sana Rais wetu Mhe. Samia Suluhu...
  11. W

    Shilatu amemshukuru Rais Samia Suluhu kuwapatia fedha Tsh. milioni 420 ya kujenga madarasa

    Na Mwandishi wetu Mihambwe Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwapatia fedha Tsh. 420,000,000/= za mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa dhidi ya mapambano Uviko 19 kwa ajili ya kujenga Madarasa 21 kwa shule ya...
  12. W

    Wananchi mihambwe wachangamkia ujenzi kituo cha afya. Wampongeza Rais Samia kuwezesha fedha ujenzi

    Na Mwandishi wetu Mihambwe Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe wachangamkia ujenzi kituo cha Afya cha Tarafa ya Mihambwe huku wakimshukuru sana Rais wa Jamahuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu kuwapatia fedha Tsh. 250,000,000/= za ujenzi. "Naipongeza sana Serikali inayoongozwa na Rais...
  13. W

    #COVID19 Tarafa ya Mihambwe wamuunga mkono Rais Samia chanjo covid-19

    Na Mwandishi wetu Mihambwe Wakazi Tarafa ya Mihambwe wamehasika vilivyo kwa hiyari yao kupata chanjo ya Uviko 19 (Corona) mara baada ya kuelimishwa na huduma kusogezwa jirani na Wananchi. "Nashukuru sana kupata chanjo ya Corona, niwaombe Watanzania wenzangu tuendane na Dunia ilivyo, na sidhani...
  14. W

    Mtwara: Spika Mstaafu, Anna Makinda avutiwa na uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi kata ya Ichenjele

    Na Mwandishi wetu Mihambwe Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Kamisaa wa Sensa Tanzania Bara Mhe. Anne Semamba Makinda amevutiwa na hamasa waliyonayo wakazi wa kata ya Michenjele juu ya sensa ya makazi kwani hakutarajia hali hiyo. Mhe. Makinda ameyasema...
  15. W

    Shilatu awapongeza Wananchi kuiunga mkono Serikali

    Na Mwandishi wetu, Mihambwe Afisa Tarafa Mihambwe, Emmanuel Shilatu amewapongeza na kuwashukuru Wananchi kata ya Miuta na maeneo yote ya Tarafa ya Mihambwe kwa kujitolea kwao kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo. Hayo yamebainishwa leo Jumapili Julai 11, 2021 wakati alipotembelea kata ya Miuta...
Back
Top Bottom