JOYCE KIRIA kupitia HAWA FOUNDATION anapenda kuwatangazia kuwa kutakuwa na mafunzo ya ujasiriamali ambayo yana lenga kumkutanisha Na ajira kijana wa kike ambaye amekaa tu nyumbani bila kuwa na kazi.
mafunzo hayo ni ya wiki tatu, ambayo yatajumuisha uhudumu wa maduka, supermarket, uhudumu wa...
wanawakelivetz
#WADADACENTER
.
2019 Tunatarajia kuboresha program hii ya wafanyakazi wa Nyumbani kuwapa Mafunzo ya Mwezi angau mmoja... Kwa sasa wanapata Mafunzo kwa wiki moja tuu kwa Sababu ya kushindwa kuwaweka kwa muda mrefu kutokana na garama za uendeshaji... .
.
Tunajitahidi sana kuwapa...
Msingi wa kufanikiwa katika jambo lolote ni kujiamini, lazima ujiamini wewe mwenye kabla mtu mwingine aja kuamini. Hii ni muhimu sana kwani hakuna atae weza kukuamini kama wewe mwenyewe hujiamini, hakuna mtu anaye weza kuwekeza kwako kama ujiamini. Ata kwenye BIASHARA zako kujiamini ni silaha...
#WANAWAKELIVETZ tumeandaa program ya Kufundisha ujasiriamali, DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa, mtaweza kujifunza
Ufugaji, kilimo na biashara.
Utengenezaji wa sabuni ya mche.
Utengenezaji wa sabuni ya maji ya kuogea, kufulia na chooni
UTENGENEZAJI WA BATIKI
DARASA hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.