Recent content by wamwanjige

  1. W

    Huyu mwanamke nimjibuje?

    Aise una bahati sana .huyo Dada pia muungwana sana .amekuambia ukweli mapema tofauti na wengine angekutesa tu .mwelewe tafadhali
  2. W

    JamiiForums Usiku wa manane

    Usilale.jf usiku wa manane(00-05hrs).niote from 05-[emoji12]
  3. W

    JamiiForums Usiku wa manane

    Hahahahahaha.na mimi
  4. W

    Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

    Maana hyo ngozi yako kama rihana du[emoji4] [emoji12]
  5. W

    Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

    Imekutach au.hahaha
  6. W

    Msaada wa mawazo.mwanamke wangu simuelewi kabisa

    Nimekusoma MKuu.mi Mwenyewe nimechoka na nimeanza kuchukua hatua
  7. W

    Msaada wa mawazo.mwanamke wangu simuelewi kabisa

    Kwani MKuu kila anajali anaweza kushauri vizuri? Au kila anayeshauri vizuri anajali?
  8. W

    Msaada wa mawazo.mwanamke wangu simuelewi kabisa

    Kama nakuelewa brother .Mimi nilichokuwa nawaza kufanya ni hivi 1)ni concetrate na shghuli zangu 2)nitimize wajibu wangu kama Mme 3)nirudi nyumbani late 4)nitimize mahitaji yake 5)nisiulize chochote 7)na mengine mazuri ambayo hayatahatarisha familia
  9. W

    Msaada wa mawazo.mwanamke wangu simuelewi kabisa

    Zamani zilikuwa hazionekani sana sababu tulikuwa hatuishi pamoja lakini tangu tuanze kuishi about a year ndo nayaona hayo
Back
Top Bottom