kashtaki police station utalipwa fidia ela nzuuri.. haiwezekan wakudhalilishe hivyo na kukufedhehesha. huoni wamekupa msongo wa mawazo unaoweza kukisababishia pressure? usikubali.. mambo ya kiuwaki hayo.. hizo bangi zao wapeleke huko huko.. wamekosa adabu Sana.. yaani kusoma hawajui hata Picha...
kweli siku hizi madhehebu yanajichanganya na siasa mnoo nadhani kuna maslahi yao endapo chama fulani kitaongoza serikali.. hata kule Kongo tunaona maaskofu wanavyowatumia waumini kisiasa. SIO Poa kabisa mambo ya kiimani bora yawe ya kiimani tuu. MIMI NI RC LKN KIUKWELI HISTORIA YA KANISA...
hivi mtu unaposema huu ni uongozi.. tuambie ukweli basi. Mbona husemi satellite ni uongozi?? Mbona husemi nuclear bomb AU atomic bomb ni Uongo wakati yalitumika miaka ya nyuma Sana kiasi kwamba techno ilikua ndogo
🚭BORA BANGI KULIKO SIGARA. KWANZA KIUCHUMI BANGI INALIPA ILE MBAYAA.. ALAFU NI DAWAYA KUSAIDIA UPATE APETITE YA KULA. VILE VILE UNAKUA MAKINI ZAIDI KIKAZI.
hivi jamani.. kule vijijini mtu anapofia nyumbani alafu hakuna cha kupelekwa hospital wala Dr kuja kuhakikisha kwa vipimo.. wazee tuu au YOYOTE anaeaminiwa aminiwa akisema KAFA BASI mipango ya mazishi inaanza fasta mtu anazikwa. haswa haswa waislam. NAHISI BAADHI WANAZIKWA HAI 🤔
DUU HII MOVIE YA VAN DAME NA SAIBOGI ..SIJUI DR ANAJIRIDHISHA VP KABISAA MTU KAFA ALAFU AENDE KUFUFUKIA MOTCHWARI THEN KULE MOTCHWARI AZIBULIWE NOCK OUT.. AU DOUBLE KICK AFE KABISAA.. 🤔DUUUUH.
KWA KWELI MH.. RAIS HAPO KAZINGUA.. MAMBO YA KITAALAM HUSUSANI YALIYOSIMAMA NA SHERIA HAYAPASWI KUWEKEWA UPINZANI. MFANO..SHERIA YA MANUNUZI YA UMMA KAMA INAAMRISHA KUNUNUA AU KUAGIZA BIDHAA MPYA. HUPASWI KUNUNUA YA MTUMBA.. HILO HALINA MJADALA... SIO LAZIMA KILA MRADI SIASA ITUMIKE.MASLAHI YA...
Hiyo biashara ya injili ni Kama biashara nyingine tuu hupanda na kishuka saa nyingine hufa KABISAA. Kama hakuwekeza hisa kwene mataasisi mbali mbali... Atakoma
Usipaniki Sana mkuu.. Isijikute na pressure alafu ukapata stroke mambo yakawa mabaya zaidi. We jitahidi pambana lipa hilo Deni alafu.. Weka sheria au makubaliano maalum ya jinsi ya kuishi na mkeo ili msije mkajikuta mnaachana siku moja kwa sababu ambazo mnaweza kuzidhihiti kwa sasa.. Kwanza...
alisema anastaafu mziki.. Christian Bela akajibu.. kiba lzm astaafu mziki sababu hajui nini mashabiki wake wanataka.. Kiba anazingua anaalikwa wasafi festival badala akubali kwa ela ndefu ETI analeta habari za kuibiwa penseli.. KIBA DISASTER SANA
alisema anastaafu mziki.. Christian Bela akajibu.. kiba lzm astaafu mziki sababu hajui nini mashabiki wake wanataka.. Kiba anazingua anaalikwa wasafi festival badala akubali kwa ela ndefu ETI analeta habari za kuibiwa penseli.. KIBA DISASTER SANA
alisema anastaafu mziki.. Christian Bela akajibu.. kiba lzm astaafu mziki sababu hajui nini mashabiki wake wanataka.. Kiba anazingua anaalikwa wasafi festival badala akubali kwa ela ndefu ETI analeta habari za kuibiwa penseli.. KIBA DISASTER SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.