mixer au dry
Member
- Sep 25, 2019
- 66
- 56
Kama ningekuwa President ningepiga marufuku TUMBAKU na ningeruhusu BANGI kwa sababu nishaona vifo vinavyosababishwa na TUMBAKU ila sijaona Vifo vinavyosababishwa na BANGI.
Ni mtazamo tu.
Ni mtazamo tu.