Recent content by wamesanda

  1. wamesanda

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    DSTV ni kule wanakotoka wale Jamaa wenye Nissan Patrol ya Black iliyokuwa Inampigia honi amateur aliyemtolea bastola Nape
  2. wamesanda

    Mbunge wa Jimbo la Siha, Godwin Aloyce Mollel(CHADEMA) ajivua wadhifa huo na kuhamia CCM

    Hamna jimbo linaitwa Sina we chai maharage
  3. wamesanda

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kinatoa Mikopo ya Elimu ya Juu kwa waliokosa fika ofisi ndogo Lumumba

    Serikali ya CCM inawanyima mkopo kisha CCM yenyewe inaamua kuwapa mkopo.....smh Maigizo yanaharibu nchi.
  4. wamesanda

    SPECIAL THREAD: Kufungwa kwa vituo vya mafuta nchini kwa kutokuwa na mashine za EFD

    Hivi hiyo $3000 ni cost kwao ama wata claim kwenye return za VAT?
  5. wamesanda

    Kwanini wapinzani hawapo kwenye kikao cha muswada?

    Hata Mnyika na Msigwa waondoke kabisa, CCM wafanye kila kitu wenyewe ili mwisho wa siku tujue urefu wa akili zao kwa mara ya pili tena. Walioharibu waachwe warekebishe wenyewe.
  6. wamesanda

    USHAURI: TRA wawatumie TANESCO kama mawakala wa kodi ya majengo

    Vipi wanaotumia solar, maeneo yasiyo na umeme lakini wanatakiwa kulipa property tax, wenye condos/ unit zinazotumia luku moja, assessment ya wamiliki wapya wa majengo....changamoto bado ni nyingi
  7. wamesanda

    Msukuma: Miswada mitatu ya dharura kama huna akili hata wakikupa siku 10 hutaweza ijadili

    Hivi mheshimiwa mkuu sana si ana PhD na hana hela kama msukuma? Unamaanisha na yeye ni.........?
  8. wamesanda

    Basi la Superfeo lapata ajali Songea

    Mmiliki wake yupi huyo? Kama nakumbuka sahihi SuperFeo zina wamiliki wengi nadhani ni Msigwa Family wa Iringa.
  9. wamesanda

    Nimehama upinzani wa kubabaisha !

    No man, I don't have wings.
  10. wamesanda

    Nimehama upinzani wa kubabaisha !

    Hongera kwa kuwa na "Twaweza" kwenye ubongo
  11. wamesanda

    Nimehama upinzani wa kubabaisha !

    hahaha, hujawahi kuwa mpinzani...msalimie admin wa whatsapp group yenu
  12. wamesanda

    Nimehama upinzani wa kubabaisha !

    Hukutamani maamuzi yako yasifike? Au uliandika hapa ili utufikirishe jambo gani boss?
  13. wamesanda

    Nimehama upinzani wa kubabaisha !

    Huu vipi, hujatumiwa kweli?? Hata kwenye ile group yenu hawajatuma uka-paste hapa?
  14. wamesanda

    Nimehama upinzani wa kubabaisha !

    nakuona Jinsi ya kuwakabili wapinzani! ukiwa mpinzani bora kabisa, kwa kumfundisha adui awauwe vipi...
Back
Top Bottom