Nimehama upinzani wa kubabaisha !

bilengeh

Senior Member
Mar 31, 2017
135
86
Habari za jioni wapendwa.
Kwa mawimbi ya kisiasa yanayoendelea kwa sasa nchini, nimeamua kuchukua hatua hii.

Kwa kuanza malalamiko yangu na huu ushabiki wa kichama ambao tumeotoa katika sera na agenda mpk kuufnya kuwa ni wa kishabiki zaidi. Mana tumefanya kuwa washabiki badala ya kuwa wazalendo na nchi yetu. Naona tunapoelekea ni yale yale ya simba na yanga katika ulingo huu wa siasa.

Maana kwa hulka ya binadaamu akikosaa yale aliyekuwa anapata mwanzo akayakosa basi huwa anakuwa na mengi ya kujiuuliza.

Haya ni katika machache niliyokuww navipata toka kwa mabwana hawa
1/ hoja nzito zenye kuligusa taifa.
Lkn kwa masikitiko makubwa leo wameyaweka mbele maslahi ya chama mbele

2/ kukosoa pasina kutoa muarubaini wa kulitibu tatizo.
Hapa upinzani wetu umekuwa unaimba wimbo huu kwa zqidi ya miaka kumi sasa kukosoa ambayo ni jambo jema lkn kukosoa pekee kusiishie hapo pia wanatakiwa kulalamikia makosa hayo yaliyopita(nieleweke wazi kuwa c maanishi yaliyopita yakasahaulika) ila watuonyeshe WAY FORWARD na sikukosoa pasina kutoa ushauri wenye tija na wa kimkakati.

Na cha mwisho kabisa kwa masikitiko makubwa nitoe rai yangu.
Hili la bajeti wamejitahidi sana kutueleza jinsi fedha hazikufika katika miradi wa bajeti iliyopita ,ningefurahi na kuwaona smart kama wangekuja na njia safi za kuongeza mapato yetu tukapata fedha nyingi zaidi ambayo inge cover kile kilichopelea

Angalizo kwa huu mwenendo huu mnaokwenda nao mtapoteza mamilioni ya watanzania waliokuwa na imani kwenu. Maana kwa utafiti wangu wa kila siku bwana JPM anajizolea wanachama wenu
 
Habari za jioni wapendwa.
Kwa mawimbi ya kisiasa yanayoendelea kwa sasa nchini, nimeamua kuchukua hatua hii.
Kwa kuanza malalamiko yangu na huu ushabiki wa kichama ambao tumeotoa katika sera na agenda mpk kuufnya kuwa ni wa kishabiki zaidi. Mana tumefanya kuwa washabiki badala ya kuwa wazalendo na nchi yetu. Naona tunapoelekea ni yale yale ya simba na yanga katika ulingo huu wa siasa.
Maana kwa hulka ya binadaamu akikosaa yale aliyekuwa anapata mwanzo akayakosa basi huwa anakuwa na mengi ya kujiuuliza.

Haya ni katika machache niliyokuww navipata toka kwa mabwana hawa
1/ hoja nzito zenye kuligusa taifa.
Lkn kwamasikitiko makubwa leo wameyaweka mbele maslahi ya chama mbele
2/ kukosoa pasina kutoa muarubaini wa kulitibu tatizo. Hapa upinzani wetu umekuwa unaimba wimbo huu kwa zqidi ya miaka kumi sasa kukosoa ambayo ni jambo jema lkn kukosoa pekee kusiishie hapo pia wanatakiwa kulalamikia makosa hayo yaliyopita(nieleweke wazi kuwa c maanishi yaliyopita yakasahaulika) ila watuonyeshe WAY FORWARD na sikukosoa pasina kutoa ushauri wenye tija na wa kimkakati.
Nachamwisho kabisa kwa masikitiko makubwa nitoe rai yangu.
Hili la bajeti wamejitahidi sana kutueleza jinsi fedha hazikufika katika miradi wa bajeti iliyopita ,ningefurahi na kuwaona smart kama wangekuja na njia safi za kuongeza mapato yetu tukapata fedha nyingi zaidi ambayo inge cover kile kilichopelea

Angalizo kwa huu mwenendo huu munaokwenda nao mutapoteza mamilioni ya watanzania waliokuwa na imani kwenu. Mana kwa utafiti wangu wa kilasiku bwana JPM anajizolea wanachama wenu
Ulipo kuwa upinzani ulikuwa unafaida gani mbona ni nothing tu,nenda kwa makinikia wenzako na wapiga makofi,waliouza nchi yetu,na Leo wabajidai wanakuja na staili ya kutudanganya eti nchi italipwa na tutawafunga wahusika,lkn maraisi wastaafu msiwaguse.
 
Fika salama mkuu ila nafasi za vyeo zimekwisha kabisa kabisa sijui labda uombe washikwe na BP wafwee upate japo kidogo. Lakini si haba, watabuni njia nyingine ka Bunge la kutafuta wabunifu wa sheria mpya, mpewe nafasi woote 1000 kwenda kujichumia za kiulainiiii
 
Ulipo kuwa upinzani ulikuwa unafaida gani mbona ni nothing tu,nenda kwa makinikia wenzako na wapiga makofi,waliouza nchi yetu,na Leo wabajidai wanakuja na staili ya kutudanganya eti nchi italipwa na tutawafunga wahusika,lkn maraisi wastaafu msiwaguse.
Kusema sikuwa na na faida ni upuuzi mana mimi ni mmojawapo ya wale milioni sita aliyepata bwana lowasa na kura yangu ikamuhakikishia mbunge wa temeke wa cuf kwenda mjengoni
 
Fika salama mkuu ila nafasi za vyeo zimekwisha kabisa kabisa sijui labda uombe washikwe na BP wafwee upate japo kidogo. Lakini si haba, watabuni njia nyingine ka Bunge la kutafuta wabunifu wa sheria mpya, mpewe nafasi woote 1000 kwenda kujichumia za kiulainiiii


Kumbe nafasi za vyeo zipo za kutosha huko ndio maana kina luwasa walikimbilia eeh
 
Kumbe nafasi za vyeo zipo za kutosha huko ndio maana kina luwasa walikimbilia eeh

Wapi tena rubii wangu?? Luwasa kawarudia tena?? Nimemwambia aliyekuwa upinzani akasema ameondoka huko, nikamwambia afike salama huenda akiomba wafwe na BP huko ccm atapewa cheo.
 
Habari za jioni wapendwa.
Kwa mawimbi ya kisiasa yanayoendelea kwa sasa nchini, nimeamua kuchukua hatua hii.
Kwa kuanza malalamiko yangu na huu ushabiki wa kichama ambao tumeotoa katika sera na agenda mpk kuufnya kuwa ni wa kishabiki zaidi. Mana tumefanya kuwa washabiki badala ya kuwa wazalendo na nchi yetu. Naona tunapoelekea ni yale yale ya simba na yanga katika ulingo huu wa siasa.
Maana kwa hulka ya binadaamu akikosaa yale aliyekuwa anapata mwanzo akayakosa basi huwa anakuwa na mengi ya kujiuuliza.

Haya ni katika machache niliyokuww navipata toka kwa mabwana hawa
1/ hoja nzito zenye kuligusa taifa.
Lkn kwamasikitiko makubwa leo wameyaweka mbele maslahi ya chama mbele
2/ kukosoa pasina kutoa muarubaini wa kulitibu tatizo. Hapa upinzani wetu umekuwa unaimba wimbo huu kwa zqidi ya miaka kumi sasa kukosoa ambayo ni jambo jema lkn kukosoa pekee kusiishie hapo pia wanatakiwa kulalamikia makosa hayo yaliyopita(nieleweke wazi kuwa c maanishi yaliyopita yakasahaulika) ila watuonyeshe WAY FORWARD na sikukosoa pasina kutoa ushauri wenye tija na wa kimkakati.
Nachamwisho kabisa kwa masikitiko makubwa nitoe rai yangu.
Hili la bajeti wamejitahidi sana kutueleza jinsi fedha hazikufika katika miradi wa bajeti iliyopita ,ningefurahi na kuwaona smart kama wangekuja na njia safi za kuongeza mapato yetu tukapata fedha nyingi zaidi ambayo inge cover kile kilichopelea

Angalizo kwa huu mwenendo huu munaokwenda nao mutapoteza mamilioni ya watanzania waliokuwa na imani kwenu. Mana kwa utafiti wangu wa kilasiku bwana JPM anajizolea wanachama wenu
Maisha ya mtanzania kila kukicha yanaporomoka sijui hao unao wasifia unawasifia kwa lipi?
 
Back
Top Bottom