Wanajamvi!
Napenda kufahamu hivi ni kweli kuna washauri wa Rais? Zipo baadhi ya kauli ambazo zimetoa taswira mbaya kama nchi, je ni kweli kuna washauri wa Rais? Na wanafanya kazi ipasavyo?
Nawasilisha kwa hatua zaidi.
Wanajamvi!
Hivi karibuni Mheshimiwa Rais alifanya ziara ya kushtukiza JESHI LA MAGEREZA, Gereza Ukonga siku chache baadaye tumebaini mambo haya:
1. Mara ya mwisho kupata sare za Askari ni mwaka 1998. Baada ya hapo wamekuwa wakijinunulia kutoka kwenye maduka ya vigogo wa MAGEREZA akiwemo...
Nianze kwa kushukuru ziara ya kushtukiza ya Mhe. Rais DKT Magufuli. Ni kweli Askari MAGEREZA wamekuwa wakinunua sare zao ktk uchambuzi wangu nimebaini kwamba mara ya mwisho kupata sare za Askari ilikua mwaka 1998. Kuanzia hapo hadi Leo hawajapewa mgao, wamekuwa wakinunua sare zao kutoka kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.