Shetani sio kiumbe ni cheo cha ualifu, uwasi, cheo hiki anapewa Jini au mwanaadamu mualifu kwa mfano " rudi nyuma yangu shetani we ukikwazo kwangu. haya ni maneno ya Yesu akimwambia mwanafunzi wake. Jini mualifu ndio anayeitwa shetani akiongozwa na Ibilisi
ya dito utaambiwa meja kaua bila kksudia nchi hii inawenyewe bana. utetezi aikubaliki ukishakuwa mtuumiwa lazima ushtakiwe. wakamtete mahakamani . kule itajulikana kama mjeda ALIZINGIRWA NA HAO WATOO au aliwakosakosa kuwagonga na gari wakamrushia mawe naye akarusha risasi
waislam wote ni alshababu waislamu wote magaidi. hasa uwe umefuga ndevu ukileta vurugu kidogo utasikia gaidi lakamtwa mtwara . kwa muislam gaidi kwa siyekua muislamu muharifu tusubiri kimbari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.