Baba wa Taifa mwalimu Nyerere alisema ukianza kula nyama ya mtu hutaacha(ukianza ubaguzi hutaacha)utasema hawa ni wabara na hawa ni wazanzibari,hawa ni watanzania na hawa ni wamsumbiji na hawa ni wasouth Mungu atuepushie mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.