mensaah
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 927
- 1,311
Laiti wanawake wote wangekuwa na mawazo kama yako na kuyaishi kwenye ndoa zao bac ndoa kwa zaidi ya 90% zingekuwa na amani, furaha, upendo na maendeleo pia. Big upIla cku hizi wanawake wengi ni wabishi katika ndoa. Ukitaka kwenjoy ndoa kubali kwamba mwanaume ndo kichwa cha familia. Tuwe tunajishusha tu. After all hatupungukuwi kitu. Mwanaume yoyote ukijishusha tayari umesha muweka kiganjani lakini kadri tunavyotaka kushindana nao ndo tuleta distance. Never raise a voice to your man however angry you become. Ukijushusha atakua mwenyewe guilty. Utaona jioni kaja nakazawadi mara namapochopocho kibao. Hakuna mwanaume anapenda kupigiwa kelele na wife