Wana songea (wanalizombe) tuna mngoja kwa hamu naamini alisha Sema serikali ikikopa mahindi yetu basi watulipena riba... maana hata serikali ikikopa benki inalipa kwa riba... that's sensible keepin on EL
Sie sio mandoroobooo ww... we know things n tuo upuuzi wako hapa.. mfumo ndio tatizo katika nchi yetu na xxm ndio wametufikisha hapa Leo sasa niwakati nchi inaitaji mfumo mpya wa madiliko ya kiutawala, sera, kifikira na kimtazamo wa uchumi. Tunaamin ndani ya xxm kufanya mageuzi ya kimfumo ni...
Achana nao hawa kwanza wanaimba mapenzi tu wakati watu tunataka change ya kiutawala awana jipya. ukawa itasimama tu na wasanii wengine wny tungo mahiri zaidi yao na zenye conscious kama Kala jeremia,Roma mkatoliki, prof j wa mwanalizombe..weusi pia sasa kiba na diamond ndio nini watasanda tu
I think ukweli ulisha Juliana kuhusu issue ya Richmond tuliache ili lowasa is clear msituchanganye.. alisha open the true fact and the all Tanzanian n world knowns.. Tuuzee Sera zetu kwa watanzani sasa na tuwaeleze ni jinsi gani mtageuza mfumo wa kuendesha serikali na kuwajibishana, elimu...
Lowasa alisha Sema hana aja ya kulipa kisasi.. so he will let them live peace ila mfumo utageuka.. maana alisikitika kuona watu wanapigwa mambo ya machozi mwanza.. lowasa is a reason man n has heart of man
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.