Recent content by WAlk04

  1. WAlk04

    Rafiki yangu anasumbuliwa na vipele hivi. Vilianzia mapajani vimefika mpaka kwenye uume

    Mimi nilikuwa muhanga wa huu upele mkuu Unawasha sana usiku. Nunua scaboma lotion. Inauzwa 8,000 pharmacy Ukitoka kuoga unapaka sehemu zilizo athirika. Ni vyema pia ukaoga maji ya moto. Cha kuzingatia Usirudie nguo wala mashuka[emoji419]
  2. WAlk04

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    Ikifika M3 nicheki hata leo nalipa.
  3. WAlk04

    Naomba kufahamu namna ya kuhamisha pesa from Safaricom M-PESA to Vodacom M-Pesa

    Tumia hii, *840# 1- send money abroad 1-send to mobile number 3- Tanzania Utaingiza namba ya recipient ukianza na 255 Utaweka kiasi Utachagua no3- savings Utachagua no4- Gift & donation Then utaconfirm. Mm ndo huwa nahamisha kwa njia hiyo, Japokuwa zipo nyingi.
  4. WAlk04

    Mtambo au software ya ku track

    Mkuu kupata exactly location kwa teknolojia yetu hapa nyumbani through phone number haiwezekani. Inawezekana kupata mnala anaotumia huyo mtu unaemtafuta. Yani utapata ile location kwamba hii namba saiv imetumia mnala wa sehem flani, kwahiyo utaanzia kumtafuta katika hiyo location but sio...
  5. WAlk04

    Kuogopa kununua Toyota Prius ni ushamba au umasikini

    NJOMBE hizi chuma nimeziona kadhaa, af zote nlizoziona ni Usajili wa E na wana wanapigia TAX[emoji119][emoji119] Kesho nikiiona hata moja ntaleta picha hapa
  6. WAlk04

    SITASAHAU ; Mkesha wa mwaka mpya 2001.

    Dah Ule msitu ulitishia sana enzi hizo Sasa hivi hauskiki kama zamani, naona yale mauzauza yameisha. Karibu tena njombe[emoji112]
  7. WAlk04

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Okay ahsante [emoji120]
  8. WAlk04

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Samahani kwa usumbufu kidogo, Nlikuwa naomba msaada wa kuelekezwa namna ya utengenezaji wa juice ya ukwaju kwa ajili ya matumizi ya kupunguza kitambi. Naomba msaada wa namna ya kuandaa hiyo juice. Ahsante[emoji120]
  9. WAlk04

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Okay wacha tu niiweke hata hapa maana sio nyeti ni mambo tu ya kawaida
  10. WAlk04

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Mkuu inbox yako imefungwa, ninashida kidogo naomba unitumie txt ili niweze kutumia ujumbe [emoji120]
  11. WAlk04

    Threads zinazosimulia matukio ya kijasusi zinapatikana wapi?

    Mkuu inbox yako imefungwa nlikuwa naomba unifungulie ninashida kidogo [emoji120]
  12. WAlk04

    Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

    Mkuu sorry, Nashindwa kukufikia inbox kwako Naomba unifungulie tafadhari
  13. WAlk04

    Joka la vichwa viwili ndani ya msingi wa jengo lililoanguka na kuua watano Marangu

    Mkuu PM yako imefungwa, Kuna msaada nahitaji kutoka kwako naomba unifungulie tafadhari [emoji2969]
  14. WAlk04

    JamiiForums Usiku wa manane

    Baridi la Njombe hapa ni °C 9 mida hii ya saa 02:36 hakuna usingizi kabisa [emoji849] Nipo kitandani tangu saa tano ila mpaka muda huu usingizi umegoma [emoji2357]
Back
Top Bottom