Kosa lako ulianza kuleta mambo ya dada na kaka ulitakiwa kupeleka moto mwanzo mwisho mpk mtoto aelewe unajua hivi viumbe havitakiwi ukwepeshe maneno hapo lazima atanyoosha maelezo tu.
Ongera mkuu Kwa kuelewana na wazee wako, lakini kwangu Bado ngumu kidogo sina mahusiano mkuu tatizo ni uchawi niliamua kujiweka mbali nao Kwa sababu za kiusalama zaidi kiukweli uchawi wa ndani ya familia ni mbaya sana ndio chanzo cha matatizo mengi ninayopitia mpk sasa.
Ongera sana mkuu, lkn hapo kwenye kuheshimu wakubwa naona umezingua sisi wengine wazaz wetu kabisa ndio waliotuaribia maisha ongereni wenzetu ambao wazaz wenu wanawajali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.