Recent content by walikuyu

  1. walikuyu

    Kuna binti nilimtamani nikamtongoza kimafumbo lakini hiki ndo kilichotokea!

    Safi, sasa kipindi hichi usifanye makosa kabisa muite chocho mpe maneno ya mapenzi akae sawa ule mzigo
  2. walikuyu

    Kuna binti nilimtamani nikamtongoza kimafumbo lakini hiki ndo kilichotokea!

    Kosa lako ulianza kuleta mambo ya dada na kaka ulitakiwa kupeleka moto mwanzo mwisho mpk mtoto aelewe unajua hivi viumbe havitakiwi ukwepeshe maneno hapo lazima atanyoosha maelezo tu.
  3. walikuyu

    Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

    Hivi kimaendeleo lindi na musoma panafanana au imekaaje wakuu
  4. walikuyu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uzi mtamu huu yani unasoma nondo huku mashine imetuna balaa embu wakulungwa leteni mastory
  5. walikuyu

    Usikurupuke kuingia kwenye ndoa...

    Mwanamke unaweza mpa Kila kitu na bado ukachapiwa mbona wengi tu tunawaona wanaume zao wapo vzur lkn wanapigwa miti kama kawa
  6. walikuyu

    Nimegundua ndoa zimekufa muda sana

    Vp wew mtoa mada umeoa au bado?
  7. walikuyu

    Tabora: Bodaboda wawili wafariki kwa kugongwa na treni wakijaribu kushindana nayo

    Hivi kwa nn boda boda nchi nzima akili zao zinafanana
  8. walikuyu

    Mtu umemuoa afu anakupikia vyakula vya banda la chipsi

    Mambo ya kuoa maslei qwinii ayo hu wa munaangalia sura sio tabia unaona matokeo yake
  9. walikuyu

    Ninataka kujiondoa JF kutokana na uhaba wa watu wenye akili kubwa siku za hivi karibuni

    Nafikiri ungefuta app ya jf kwenye simu yako kamwe usiingie tena jf hapo utakuwa umejiondoa moja Kwa moja
  10. walikuyu

    Je unawajua choosen one na maajabu yao katika dunia

    Sijajua kama naweza kujiita chuzeni wani mana nayopitia kwenye maisha yangu yanaendana kabsa alichosema mleta mada.
  11. walikuyu

    Shamba nililonunua kwa Tsh laki 3 mwaka 2009 leo hii thamani yake imevuka Tsh 40m

    Ongera mkuu Kwa kuelewana na wazee wako, lakini kwangu Bado ngumu kidogo sina mahusiano mkuu tatizo ni uchawi niliamua kujiweka mbali nao Kwa sababu za kiusalama zaidi kiukweli uchawi wa ndani ya familia ni mbaya sana ndio chanzo cha matatizo mengi ninayopitia mpk sasa.
  12. walikuyu

    Shamba nililonunua kwa Tsh laki 3 mwaka 2009 leo hii thamani yake imevuka Tsh 40m

    Ongera sana mkuu, lkn hapo kwenye kuheshimu wakubwa naona umezingua sisi wengine wazaz wetu kabisa ndio waliotuaribia maisha ongereni wenzetu ambao wazaz wenu wanawajali
  13. walikuyu

    Kumbe waganga nao wanaweza kurogwa

    Uyo mganga zinaa ndio imearibu uganga wake hakuna kingine kwenye kazi za uganga umalaya ni adui mkubwa sana hii kazi haitaki uchafu
  14. walikuyu

    Ndoa ni changamoto

    Ndoa jamani ni shida sana siku hizi
Back
Top Bottom