Kweli hili ni Jambo jema, Lkn pia asisau barabara tukuyu,> bujela>, ijigha >Masukulu ambayo itaunga Mpaka kyela..Ili kuunganisha wanaacnchi wa vijiji hivi....Lkn Hadi hapo pongezi nyingi kwa Rais.
Hata hiyo kaz unayofanya, how do you keep yourself updated?, Sasa naona waniaminisha kwa Nini wafanyakazi wengi kwenye maofisi mengi, utendagi wao upo chini ya kiwango, and tu local..poor customer care, kufanya Kazi kwa mazoea na kujifuta kwingi etc.. Ni wangapi walio kama Wewe wako kwenye...
Kwanza kutokujua tofauti ya anayesoma vitabu na ww usiyesoma ni dhihirisho tosha kwamba Kuna gap you are missing something..Atleast unahitaji kusoma vitabu Ili uweze angalau basi kupambanua tafauti yako na mtu anayesoma vitabu..Amka mkuu. Huwez ukawa ni graduate,alafu huoni tofauti ya mtu...
Ukifikira vizuri utangundua mchangiaji hoja, na hoja yako vinamaana mbili tofauti.
Concern yako ni usahihi wa baba wa jiwe, lkn mchanjiaji wa maada nilivyomwuelewa haongeli hilo,.Anajirabu kupima uwezi wa uongoz wa mtu na malezi yake kutoka kwa wazazi wote wawili, which is totally wrong na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.