katika hali inayo elekea kuwa vugu vugu la mabadiliko ninaichanganya serikali ya ccm,hatimaye wale waathirika wa mafuriko ya mwaka jana mwezi wa kumi na mbili waliosota kwa mda wa takribani miezi sita wamepata nafuu baada ya kutokea mkutano wa CHADEMA leo jpili hapa TABATA SHULENI ambapo asubuhi...
acheni umagamba mbona sirikali ya nyi nyi emu imewahaidi maisha bora lakini mwaka wa saba 0-0, mnyika anafuatilia sana ila kuna njama za siri za kumkwamisha ila my self nina iman nae .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.