Recent content by Wakunyuti

  1. Wakunyuti

    Magufuli amtembelea Askofu Malasusa

    Crimea Hivi Magufuli ni Mlutheri au Mkatoliki?
  2. Wakunyuti

    Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

    Mr Rocky, Dah mmenikumbusha kitambo nyie raia. Kuna afande mmoja alikua anaitwa Bruno jamaa alinitupiaga stick ya kichwa kisa Mwalimu Mleli kamuambia anishughulikie, nikaona hapa jamaa ataniua nikatoka nduki mbaya smart Area pale nilikipia speed ya hatari kama Hussein Bolt. Ticha Mleli...
  3. Wakunyuti

    An article from January Makamba on the Obama visit to Africa

    Jamani msameheni bure...Alikua anajaribu kutupa karata yake huwezi jua...Hizi mbinu husaidia wakati mwingine. Wasalaam
  4. Wakunyuti

    Serikali 'yaimegea' kampuni Nigeria gesi ya Mtwara

    Good Analysis. Nina wasiwasi sana na Hiki kiwanda na namna huyu mwekezaji anavyokumbatiwa na kupewa support ya kipekee kabisa kutoka serikalini. Kumbuka mpaka sasa katika nchi yetu kuna viwanda takribani vi nne vinavyozalisha cement. Kama Goverment haitatoa the same support kwa viwanda vingine...
  5. Wakunyuti

    Live Feeds: Kutoka mahakama Kuu ya Rufaa Kivukoni - Rufaa ya Lema, Dec 04, 2012

    Kamanda inabidi tukupe cheo cha Senior Correspondent wa JF...hizi ni level za CNN kabisa. Big up Jembe.
  6. Wakunyuti

    NAPE na SITTA wakalia kuti kavu CCM

    ivi hiki chama hakifi tu??
  7. Wakunyuti

    Real Madrid v Barcelona-semifinal UEFA CHAMPIONSHIP

    Kwa kweli mpaka msimu huu uishe hapo May/June tutakua tumepata burudani ya kipekee...Elclassico takribani 4 zimebaki kwa kipindi cha mwezi mmoja ..sidhani kama imeshawahi kutokea hii..huu ni mwezi wa mavuno kwa industry ya kamari ulaya hususan Spain.... but as usual Mourinho doesnt dissapoint...
  8. Wakunyuti

    Je ni kweli kuwa wanaume wafupi wanayajua mahaba....?

    We Rose mbona unapotosha jamii..mimi si mrefu wala si mfupi ni saizi ya kazi lakini huku nyini kunataka kufikia kwenye goti ...kama ni suala la ratio basi ningekua kama hashim Thabit
  9. Wakunyuti

    Hongera Regia, Mbunge kupitia viti maalum CHADEMA

    Huyu Jamaa namfananisha sana na Pundit....long time
  10. Wakunyuti

    Elections 2010 Rostam amvaa Dr. Slaa lakini utetezi wake wamweka pabaya

    Gembe unamzungumzia Raisi gani?Kikwete au??kamani Kikwete basi anawezakufanya kitu kama hicho..ndio maana akawa Raisi tofauti kuliko Raisi yeyote yule Duniani..
  11. Wakunyuti

    Elections 2010 Mpendazoe alipata kura 56,962 Segerea, asema SLAA

    Huyu ndugu yetu anakiharibu hiki chama na strategies zao which are very cheap.... Atashindwa kuitawala hii nchi sasa....Poor him!
  12. Wakunyuti

    Elections 2010 Serikali: Bei za saruji, nondo zishushwe (maji ya shingo sisiem)

    Hawa watu kweli ni vilaza ..ni bora tu wakae kimya tusijue mapungufu yao ya akili..sasa mtu anasema viwanda vipunguze bei saabu hawana sababu yeyote ya msingi ya kupandisha bei..hapohapo anakuja kusema inabidi afanye ziara aangalie kitu gani kinasababisha kupanda...Sasa kwanini asingeanza kwanza...
  13. Wakunyuti

    How do i import onions from Tanzania legally?

    Njoo huku Mbeya maeneo ya Igawa...tufanye business dada..Malila umepotea sana ndugu yangu upo??
  14. Wakunyuti

    Elections 2010 CHADEMA kuitisha Maandamano Makubwa wiki ijayo

    Wengine ni wanafiki humu...
Back
Top Bottom