Recent content by WAKUNJOMBE

  1. WAKUNJOMBE

    Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

    kuna mtaa umefanana na makambako kabisa
  2. WAKUNJOMBE

    Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

    Ukiona mwanaume anajisifia kua anajua kutukana, ujue kuna walakini.....
  3. WAKUNJOMBE

    DOKEZO Matrafiki watatu wa Msolwa - Chalinze: Nina video yenu na sauti Live mkiomba na kupokea rushwa!

    Ushauri mkuu achan nao, Tupo road kila siku na tunamarafiki zetu ni trafic, wapo huwa wanatusaidia tukikutwa na jambo , so please samehe, Pia kumbuka maisha ni haya haya, ukimharibia leo huwezi jua impact yake.
  4. WAKUNJOMBE

    Ma Brother wa 35+ ni kosa gani ulilifanya kwenye maisha yako, ambalo hutamani wengine walirudie?

    Tatizo la vijna wengi wanaoa sura, au umbo kumbuka wake wapo ila sio wengi kama unavyo dhani ni wachache sana, ..Mm kama mm ndoa imeniokoa sana na kumbuka ni ya kikatoliki, kumbuka nimemzidi 10yrs, sijawahi kujutia kuoa,
  5. WAKUNJOMBE

    Ma Brother wa 35+ ni kosa gani ulilifanya kwenye maisha yako, ambalo hutamani wengine walirudie?

    Now nipo 41, Niliajiliwa nikiwa na 25, Baba alinambia mamneno haya, moja -Ukianza ajira tu anza na kujipanga kustafu, Pili alinambia Soma maana degree yako baada ya muda itakau kama haina kitu, Tatu alinambia ogoap sana wadigo(wanawake)maana ajira yangu ya kwanza iliku Tanga ..hapa nilimuuliza...
  6. WAKUNJOMBE

    Siri ya Waislamu kuwa na Amani kuliko watu wengine hapa duniani

    Unaweza kua upo sawa ila huja sema unalinganisha na watu wa imani gani?
  7. WAKUNJOMBE

    Naombeni ushauri kuhusu kumuoa huyu binti

    Mdogo wangu sikia, huyu hakufai, anatamaa, japo anaweza kua kwenye stress za kuolewa so anategesha kwa kila anayemtongoza,il anakae muoa ndio ataulie, ila kwa kitendo cha kudharau hela yako, hapo ww kimbia mbio.
  8. WAKUNJOMBE

    Miezi 30 ya Rais Samia madarakani: Pamoja na kujikwaa kwenye Bandari, bado ni Rais mwenye record bora ya kukuza uchumi wa Tanzania kwa kipindi kifupi

    Mkuu nashukuru kwa ujumbe wenye uchambuzi mnono..umejihidi kwa kweli.. Kuna kitu umeruka, Utawal huu unakopa too much...kuna mikopo tunapewa bila kuomba na tunachukua bila kujua tunapeleka wapi hizi hela..vijana wanahera za kutosha zisizo kua na source maalum..so Tz tunauchumi usio halisia..siku...
  9. WAKUNJOMBE

    Ninahisi TZS iko 'virtually pegged' kwenye USD

    Mm naona hili swala la mda tu na limesababishwa na Demand and Supply..kama unavyo jua Tz tumekopa sana tena sana kipindi hiki ..so tunahela za kigeni (USD) za kutosha..So Demand ya Usd sio tatizo tena..so dolla mtaani ipo maanake nn..kama ujuavyo sheria ya bei...so kutokana na uwepo wa doll...
  10. WAKUNJOMBE

    Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

    Jibu swali utakufa? Kwani nikitu gani kinatoka marekani ambacho kisipokuja tunakufa? Mbona unamawazo mgando sana? So ww kataka maisha yako yotee unawaza kua mtegemezi tu...unajua utajiri wa Africa ww?
  11. WAKUNJOMBE

    Mkiambiwa kuwa Saudia na nchi za waarabu sio salama kwa wafanyakazi wa ndani mnakimbilia udini

    Huja muelewa, anamaanisha baadhi ya watu sio wote, ukimkanya au kumpa habari mbaya za inchi za kiarabu wao hufikiri ni chuki tu dhidi ya uislam.
  12. WAKUNJOMBE

    Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

    Namshukuru mungu nimetembea mikoa mingi sana hapa nchini...plus inch za jilani. Ila jamani kwa mimi naona kama baraka basi mungu akzitoa mikoa hii ifuatayo... 1-Njombe sijui kitu gani hakioti huu mkoa labda minazi... na vijana wengi waliotoka chuo na kwenda mkoa huu wanapata utajiri kwa mda...
  13. WAKUNJOMBE

    Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

    Inaonyesha ni mtoto mdogo sana....achana nae.
Back
Top Bottom