Bro USIJUBU KW MIHEMKO, HEBU TUKKULIZE, KWA NINI WANAKIMBLIA NCHI ZA MAKAFIRI? JUZI JUZI TU MISRI WALIFUNGA MPAKA HAWATAKI WAKIMBIZI TOKA GAZA, KWANINI WASIENDI QUATARY? SAUDIA? MANCHI MATAJIRI KAMA NN? WHY ALWAYS KWA MAKAFIRI? NA KITABU CHAKO KINASEMA WAISLAM NI MANDUGU WHY HAWAENDI HUKO KWA...
Pamoja na kuwaachia wafungwa wa kisiasa, Ongeza haya, Mimi
Moja-Waliotekwa wote waachiwe,
mbili-Bunge livunjwe
Tatu-Kusiwe na cheo cha mkuu wa mkoa wala wilaya
Ushauri mkuu achan nao, Tupo road kila siku na tunamarafiki zetu ni trafic, wapo huwa wanatusaidia tukikutwa na jambo , so please samehe, Pia kumbuka maisha ni haya haya, ukimharibia leo huwezi jua impact yake.
Tatizo la vijna wengi wanaoa sura, au umbo kumbuka wake wapo ila sio wengi kama unavyo dhani ni wachache sana, ..Mm kama mm ndoa imeniokoa sana na kumbuka ni ya kikatoliki, kumbuka nimemzidi 10yrs, sijawahi kujutia kuoa,
Now nipo 41, Niliajiliwa nikiwa na 25, Baba alinambia mamneno haya, moja -Ukianza ajira tu anza na kujipanga kustafu, Pili alinambia Soma maana degree yako baada ya muda itakau kama haina kitu, Tatu alinambia ogoap sana wadigo(wanawake)maana ajira yangu ya kwanza iliku Tanga ..hapa nilimuuliza...
Mdogo wangu sikia, huyu hakufai, anatamaa, japo anaweza kua kwenye stress za kuolewa so anategesha kwa kila anayemtongoza,il anakae muoa ndio ataulie, ila kwa kitendo cha kudharau hela yako, hapo ww kimbia mbio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.