Ushauri mkuu achan nao, Tupo road kila siku na tunamarafiki zetu ni trafic, wapo huwa wanatusaidia tukikutwa na jambo , so please samehe, Pia kumbuka maisha ni haya haya, ukimharibia leo huwezi jua impact yake.
Tatizo la vijna wengi wanaoa sura, au umbo kumbuka wake wapo ila sio wengi kama unavyo dhani ni wachache sana, ..Mm kama mm ndoa imeniokoa sana na kumbuka ni ya kikatoliki, kumbuka nimemzidi 10yrs, sijawahi kujutia kuoa,
Now nipo 41, Niliajiliwa nikiwa na 25, Baba alinambia mamneno haya, moja -Ukianza ajira tu anza na kujipanga kustafu, Pili alinambia Soma maana degree yako baada ya muda itakau kama haina kitu, Tatu alinambia ogoap sana wadigo(wanawake)maana ajira yangu ya kwanza iliku Tanga ..hapa nilimuuliza...
Mdogo wangu sikia, huyu hakufai, anatamaa, japo anaweza kua kwenye stress za kuolewa so anategesha kwa kila anayemtongoza,il anakae muoa ndio ataulie, ila kwa kitendo cha kudharau hela yako, hapo ww kimbia mbio.
Mkuu nashukuru kwa ujumbe wenye uchambuzi mnono..umejihidi kwa kweli..
Kuna kitu umeruka,
Utawal huu unakopa too much...kuna mikopo tunapewa bila kuomba na tunachukua bila kujua tunapeleka wapi hizi hela..vijana wanahera za kutosha zisizo kua na source maalum..so Tz tunauchumi usio halisia..siku...
Mm naona hili swala la mda tu na limesababishwa na Demand and Supply..kama unavyo jua Tz tumekopa sana tena sana kipindi hiki ..so tunahela za kigeni (USD) za kutosha..So Demand ya Usd sio tatizo tena..so dolla mtaani ipo maanake nn..kama ujuavyo sheria ya bei...so kutokana na uwepo wa doll...
Namshukuru mungu nimetembea mikoa mingi sana hapa nchini...plus inch za jilani.
Ila jamani kwa mimi naona kama baraka basi mungu akzitoa mikoa hii ifuatayo...
1-Njombe sijui kitu gani hakioti huu mkoa labda minazi... na vijana wengi waliotoka chuo na kwenda mkoa huu wanapata utajiri kwa mda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.