Kweli kabisa, mzee huyu kipindi cha utawala wake hapo (m/kiti)kijijini jeshi lake la sungusungu lilikuwa vizuri huenda ameenda kujifunza mbinu za kijeshi. Hongera zako mzee sugwa uliacha ualimu na kuwa mwanasiasa na ukakomesha ujambazi hapo katende.
Tatizo la hizi barua huwezi kumaliza kuandika ukaikunja, lazima uihariri zaidi ya mara tatu. Kipindi hicho wazazi walikuwa nongwa sana wanalinda hadi mtoto wa kiume sijui kwa ajili ya Karo! Nilichezeaga kichapo cha haja, nikamtumia barua demu kumjulisha naye akakutwa na kaka mtu kunyang'wanywa...
Inaonekana kwa mbaali unawajua watu hawa,,... Akitaka kuzaa anaenda kusalimia kwao anagonngwa na ndugu zake/kaka n.k kisha anakuletea mimba kulea. Wajinga sana hawa watu wanataka wazaliane waeenee pote
Sio rahisi kama ulivyoandika, biashara hii ni kama kamari unaweza pata faida kubwa ama hasara kubwa, zaidi hainaga hasara ndogo. Sio kila mawe utakayonunua yana dhahabu kuna utaalamu wa kuyatambua, na mbaya zaidi uweke mtu wewe uwe Dar uwe unapewa taarifa. Utawapa mitaji watu au kuwajengea...
Kumbeeee.... Ndio maana mnaanzisha thread usiku! Watu tumelala, ili mjibizane nyinyi kwa nyinyi. Umenikumbusha kibwagizo chenu. Ccm ilogilwe.... Ni kweli mmelogwa.
Sio kwamba wameonyesha misimamo yao hadharani bali wao wameonyesha chuki za wazi wazi kwa lowasa. Wangekuwa wakweli wangewachambua wagombea wote tukaona nani anafaa kuiongoza nchi. Wao wamejikita kwa EL tu wengine hawasemwi. Kuna kashifa nyingi lakini wao ni richmond ndio wanaifahamu. Alishasema...
CCm inachekesha hadi huruma. Kutokana na chama kutouzika wanataka watoe nembo ya chama kwenye bendera yao waweke picha ya magful na wabadili jina iwe CHAMA CHA MAGUFULI (C.C.M) ndio maana kwenye kampeni ananadi kuwa "serikali ya magufuri.
MM naona uzee umekuandama. Ungekuepo kipindi kile saul analetwa kwa watumishi wa Mungu aombewe nadhani ungekataa na usingekubali ajiunge na mitume kutokana na uuaji aliokuwa anaufanya, Jaribu kwenda na nyakati. Hata hivyo hatukubezi tutaendelea pale ulipoishia maana sasa umekuwa simba mzee...
Kama kweli Dr. Slaa anasimamia Ukweli kwa anachokisema, siku hiyo tr 28 angetueleza haya aliyoyasema jana. Yeye anashiriki dhambi kisiri harafu anakuja hadharani kukana. Angekataa toka mwanzo kumpokea mtu mchafu katika chama, anataka kututumia vijana kuikomoa chadema kwa kuwa haikufuata matakwa...
Tupo pamoja, mlipo tupo. Kwa tathimini iliyopo kmnd rogers ushindi ni asubuhi sana. Bugo mola na ma m.c.c yamevurugana kuhusu kupeleka vijana 2 kila jimbo dom kwenye semina ya kuhesabu kura. Naskia bugo anawapeleka kwa jer ya ps
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.