Kauli ya Balozi Juma Mwapachu kuhusu Lowassa

Kauli ya Balozi Juma Mwapachu kuhusu Lowassa

Mtoto wa rais ni mgombea kwenye uchaguzi huu?
Bandiko lako limejaa "sijui/sina uhakika" kibao.
Unaleta 'speculation' tu jamvini.

Hujui kuwa ni mgombea ubunge?
 
Dolevaby akili kubwa haiwezi kuongozwa na akili ndg km zako,akili zako ni ndg sana cwezi hata kuendelea kufanya mjadala na ww,huna hiyo hadhi,majibu yk yamekaa kimipasho zaidi inaonekana ww ni muimba taarab
 
Huwezi kuchangia nje ya mada husika.
Sio ustaarabu katika kutoa hoja.
Hizo thread za mtoto wa rais ziko huku na tumechangia...wewe hujaziona??
Huwezi kuchangia kila kitu kwenye thread


Whaaaaaat ?, nje ya mada ?.

Kwani mada inasemaje ?, Well, hiyo kauli ya Mwapachu si ndio mada husika inayozungumziwa hapa ?.

Sasa kauli ya Mwapachu haijawataja hao tunaowaongelea ndugu...?.

MAKE YOUR EYEZ WIDE OPEN MKUU ACHA KULALA. AMKA.
 
Anawalaumu vipi akina MMKJ na Polepole wakati wamefanya kile alichokiongea Mwapachu, Yaani kuonyesha misimamo yao hadharani.

Kwa hiyo Mwapachu anavyomuunga mkono Lowassa anachuki na Magufuli.?

Sio kwamba wameonyesha misimamo yao hadharani bali wao wameonyesha chuki za wazi wazi kwa lowasa. Wangekuwa wakweli wangewachambua wagombea wote tukaona nani anafaa kuiongoza nchi. Wao wamejikita kwa EL tu wengine hawasemwi. Kuna kashifa nyingi lakini wao ni richmond ndio wanaifahamu. Alishasema rich ni maagizo ya wakubwa. Mwapachu hana chuki na john, ndio maana hajamtaja katika maelezo yake.
 
Ccm ni janga kwa taifa wana wadanganya wajinga wajinga wachache apa kazi tu nao wanaitikia apa kazi tu ukiwauliza kazi ni nini hawana jibu !
Akuna mtu mwenye akili anayeweza ishabikia ccm!
Ccm inanuka imeoza inasubiri kufukiwa kwa njia yoyote ile!
 
Azungumzie pia afya ya lowassa, ya mwili sio shida ila ya akili ndio inagusa maisha yetu. Haiwezekani achaguliwe lakini thinking yote ifanywe na watu wa genge.
 
Kauli ya Barozi Juma Mwapachu Kuhusu Lowassa nimekuwa kimya kwa muda mrefu katika mabadilishano ya fikra kwenye mtandao huu ambao kwa hakika, kwa maoni yangu, haubidi kuwa ni wa fikra pevu zisizo shawishika na misimamo ya 'kimalaya ya siasa'. Kama tutaserereka katika msingi huu, basi ni bora Chambi ukafunga virago na kusitisha huu mtandao.

Sidhani na siamini kwamba ramani ya siasa ya Jamhuri yetu itabaki ilivyo ifikapo Desemba 2015. Ni ishara ya kheri na mwelekeo mwafaka kwa demokrasia ya Taifa letu.Naamini kwa dhati kabisa kwamba Edward Lowassa atakuwa kiongozi ambaye atasaidia ramani hii kubwa na muono mpya.

Juma Volter Mwapachu

Source: Ibrahim Kibopile

Hili Mzee Mwanakijiji anatakiwa kuiona labda anaweza kubadili msimamo hata kama niwa kimya kimya na akawa mwenzetu Moyoni safari hii ya Matumaini-hapo red ndiyo jina sahihi ya kwanini wengine tuliokuwa tunamtupia madongo Lowassa sasa tumebadilika.

CC Pasco

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom