Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli atoa pole kwa Familia ya Mzee Sugwa aliyefiwa na mkewe Bi. Sabina Ndege Kilanda na mwanae Shija Sugwa katika kijiji cha Katende Wilaya ya Chato Mkoani Geita. Novemba 30, 2019