Recent content by Wakanda27

  1. Wakanda27

    Kujichora tattoo imekuwa chanzo cha kuachwa dada yangu, ni kama ana bahati mbaya

    Nilikuwa na ex wangu, nilimpenda sana. Yeye alikuwa na tatoo sema kwa mgongo nilimkuta nayo. Shida yeye alikuwa influenced na movie na utoto. Nilikaa nae and tabia zake hazikuwa hivyo watu wengi wenye tatoo wanavyohisiwa. Kuna kipindi tuliachana alienda ongeza zingine. Aisee nikamwambia utapata...
  2. Wakanda27

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mimi naombeni mnitag Iryn akiliwa. To be honest kwa jinsi unavyo describe how Iryn is na kila anaekutana nae anamsifia. Then mko wavuvi mnacheza zero distance full kunyegeshana then mnafika home alafu unapokea simu unasepa????????????????
  3. Wakanda27

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    INSIDER HAPO UTAKUWA UNAKOSEA SANA. Hata the best movies in the world hazikosi critics, unfortunately JF hawana option ya kuenyesha viewership ila I am sure kuna watu wengi wanafuatilia your story kuliko sisi critics. You can stop a story just because few of us tuna question the realistic of the...
  4. Wakanda27

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Malezi nitakubaliana na wewe. Ila wazazi wake bado ni africans. Mtu asomeshwe mpaka nje alafu aje afanye kazi ya massage tena Bongo. Alikuwa na access ya kwenda other places kama Dubai, paris au hata london sio Bongo. Pia kuhusu bei ya 1500$ sikatai people pay mpaka 10,000$ massage ila very rare...
  5. Wakanda27

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nimekuwa nikifuatilia story tokea episode one. Kuna kipindi na doubt kama ni fiction ila sasa INSIDER anakupa zile details za ndani mpaka unasema mtu hawezi kutunga. Kama hii episode ya mwisho alivyo describe the horizon, kuanzia games zilizokuwepo. Picha kwenye kile kidaraja na cost za kwenda...
  6. Wakanda27

    MB DOG: Diamond Platnumz amenidhulumu wimbo wa Mapenzi Kitu Gani

    Manager wa MB Dogg kipindi hiko alikuwa BABU TALE. So ukijiongeza nahisi utapata jibu.
  7. Wakanda27

    Get a professional CV review and edit from 35,000/= TZS only

    Bei ni kuanzia 35,000 mkuu inamaana kuna range. Na kuhusu security ni payment was CV ikishakuwa ready
  8. Wakanda27

    Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

    Nakupa option zifuatazo. 1. Kuna mdau kaongelea hizo deal za wahindi yaani kuna mtu yuko bongo ana hio cash na wewe uko huko so hizo unaacha huko unakuja kupokea huku at a reasonable cost lets say 10% of the amount 2. Deposit kwenye online gambling site. This is a very good method to clean it...
  9. Wakanda27

    Zitto Kabwe: Membe alitupigania dhidi ya tabia Mbaya ya Watu wenye Mamkala kutumia Wahuni kutukana Viongozi wenzao

    Ni group la whatsapp la wake wa viongozi hasa wale ambao waume wao wako na post kubwa. Waziri, RC, speaker na kuna wake wa maraisi pia ambao ni walezi wa hilo group.
  10. Wakanda27

    Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

    Nimefanya uhuni mwingi sana, ila MKE WA MTU is my limit aisee. The risk is not worth at all. Kuna pisi kibao fresh za 2000s huku kali kinouma, why ni risk maisha yangu na mali ya mtu alietolea mahari kabisa. Yaani jaribuni kujiweka kwenye kiatu cha mwenye mali, yaani akatoe mahari, akae vikao...
  11. Wakanda27

    Naomba mtoe tip kwa wahudumu

    Binafsi mimi nikitoka out lazima nimpe mhudumu tip na nitawaeleza faida yake. Kwanza unatengeneza mahusiano ya customer service, kuna baa maarufu Dar nikiendaga yaani yule mhudumu akiniona napata service nzuri sana. Yaani kama mm mtu wa kunywa JD sijui barafu zimekata utakuta kila saa anapita...
  12. Wakanda27

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hii ni counter attack umenikumbusha kisa kimoja kama hiki. Nilikuwa na pisi nilipewa namba nikawa nachat nayo tu. Sasa siku hio pisi ilikuwa inaenda kujiandaa na graduation so ikaaga home kuwa inaenda kulala hostel ili kesho awahi kumbe alikuwa anaenda kwa bwana wake. Sijui ilikuwaje ila siku...
  13. Wakanda27

    Wazoefu wa kuchepuka hii imekaaje?

    I’m confused with huu uandishi. Nani ana mawazo mke au jamaa
  14. Wakanda27

    Tuliowahi kuachwa: Ni changamoto gani uliyokumbana nayo baada ya kuona umeachwa?

    Mimi nilipenda pisi hio ya kihaya kipindi niko chuo huko 2009. Manzi alikuwa sijui kaniroga maana Yaani nilikuwa sisikii si ambiwi chochote. Sasa mimi nilikuwa kichwa sana class kwenye uchumi so manzi ndio nilimpatia hapo bila kujua hakunipenda bali alikuwa ananitumia ili apate GPA nzuri. Dadeki...
Back
Top Bottom