Na chaajaabu zaidi.rugemalila aliwaonya serikalu juu ya ujanja ujanja ambao kuna watu wanataka kuufanya.refer aliyoyasrma mbrle ya kamati na alitoa tahadhari kwa barua.lakini serikali kwankua ilishazipgia deal izo pesa ikaweka masikio pamba.rugemalila kama mfanya biashara anahaki ya kuhuza hisa...
Kwanza ijulikanr kabise rugemalila alilipwa pesa zake halali.ila yeye pia a limit a had garish a serikali kuhusu uchotwaji Wa hizo pesa akiitaka serikali iangalie kwa makini ilo suala kua kuna wajanja wamepanga kukwapua izo hizo.yeye kama mbia alikua na haki ya kuuza visa zake na alifanua hivyo...
Fanya ivi.ubonyeze kitufe cha kupunguzia sauti na cha kuzimia kwa pamoja unakua unafanya screen shoot.kama unavyoona wenzako wamebandika kurasa nzima za instagram.then unasave kwenye simu yako
Bora kabisa.yaaan MTU mzima anakua n mambo ya kitoto ya akina wema na diamond.sasa hapo unguli wake vijana watajifunza nini!!kukaa kimya nayo ni busara pia..
Ivi ukiuliza ndo hutakiwa kutoa vielelezo ??hakuna povu naongea kiroho saafi sana.tatizo kuna watu wanaharaka ya kutoa post Wawe Wa kwanza jamvini bila kutafiti walau kidogo.alafu unamuegemea MTU mmoja kisa jinsia yake tu.hata mambo ndo yamepelekea Kenya wanaume wameanza kupigwa na wake...
Ndo maana nimesema aliepost hii kitu ni mbeya tena mshambenga.alishindwa nini kuleta habari nzima kama huyu jamaa aliepost na picha za instagram tukaona alichoandika jide.yaaan unaleta habari nusu alafu unataka watu tukuelewe kama we ulivyoelewa...ebo ..!!!magazeti ya udaku yamewaharibu sana na...
Wewe ni mbeya kwan kila anaepost kaumia kapigwa??lbda alijibana na mlango au alianguka!!!angepost chupi ilochanika napo ungesema alibakwa na mumewe!!!hebu tuache ushadidu kwa vitu tusivyovijua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.