Kwenye kampani ata akiweka shart tu na tukaambia lowasa hataka kuja ila shart lake lipo tutaenda tu na 25/10 anapewa kura yangu awe ICU au nje ya nje au wapi atapewa kula tu .hivyo hatutaki kujua kasimama dakika ngapi ila subiri awe madarakan ndo mtajua pa kyjifichà
Bundi ni ndege mzuri na ameumbwa km ndege wengine walivyo ila binadamu huwatumia vibaya ni sawa na binadamu kumtumia paka au njiwa ktk imani zakishirukina
Kimsingi si sahihi na hata kibiblia pia c sahihi na nikosa kubwa Hakuna ibada ya wafu pia na MTU akifa ni hukumu nyinyi hata mkiomba Mara mia kwa cku haisaidia ushauri ACHENI KUTENDA MABAYA JIFUNZENI KUTENDA MENA
Nmb hawana ubaguz confidence ya muhimu hats km umeenda chaka maswali ya general ndo wanauliza sana km ya darasan no machache San ila mi sikuulizwa swali LA darasan hata moja pia jua product za nmb na wamiliki wa nmb ktk hisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.