Habari za mda huu ndugu zangu,nna mdogo wangu wa kike amepima ameambiwa ana bacteria ktk dam pia mkojo una sukari.pale hospitali ameandikiwa dawa aina 3 ampiclox.., flay.. (nmeshindwa kusoma vzur walivyoandka) pia akapewa na dawa nyingne ya tatu, tulipotoka hapo kwenda kununua dawa nyumban yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.