Recent content by Wachaka

  1. W

    Atumie dawa gani??

    hiyo nyngne cjajua mana mwandiko umenishinda kuusoma
  2. W

    Atumie dawa gani??

    Habari za mda huu ndugu zangu,nna mdogo wangu wa kike amepima ameambiwa ana bacteria ktk dam pia mkojo una sukari.pale hospitali ameandikiwa dawa aina 3 ampiclox.., flay.. (nmeshindwa kusoma vzur walivyoandka) pia akapewa na dawa nyingne ya tatu, tulipotoka hapo kwenda kununua dawa nyumban yule...
  3. W

    Natafuta msichana wa kuweka dukani

    ungehitaji mvulana ningekuja fasta maana nna uzoefu wa kuuza solar mpk sasa nipo na wachina tunauza bidhaa za solar kwa jumla.
  4. W

    Matokeo ya Kidato cha Pili hewani: St. Franscis, Kilimanjaro Islamic na Kaizerege waongoza

    ni kwa sabab wapo wana hali mbaya kiuchumi.. hawana memorandum of understanding km wakristo
  5. W

    Nauza vitu vyangu vya ndani

    duh ok
  6. W

    Nauza vitu vyangu vya ndani

    naomba usikiuze me ntakichukua nadhan baada ya krismas jumatano hivi, je nikifate au utakileta? nipo serious wala co mtu wa utani mm
  7. W

    Nauza vitu vyangu vya ndani

    vp kitanda tupu huuzi?
  8. W

    Nauza vitu vyangu vya ndani

    nletee kk npo bugurun malapa
  9. W

    Nauza vitu vyangu vya ndani

    niletee hii kitu, me npo Buguruni malapa
  10. W

    Msaada: Hii mimba imetokeaje?

    bila kuficha, huyo jamaa wkt yupo masomon kuna lijamaa lilifanya yake.. ni mtazamo tu.
  11. W

    Kati ya hizi aina mbili za solar, ipi bora?

    zote hovyo nunua za sundar
  12. W

    Kwa waliobobea mambo ya solar

    mbona ni obvious unachukua inveta unaweka ktk umeme wa kawaida(Tanesco) kisha waya zilizobak za inveta wachomeka ktk betri.
  13. W

    Kwa waliobobea mambo ya solar

    panel watts 30 itachaji vizuri betri ya 20Ah pia uwe na controller ya 10Amps... panel ya Watts 65 ndio suitable kwa kuchaj betri hiyo ya 40Amps.
Back
Top Bottom