specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 619
- Thread starter
- #141
Unalala kwa wazazi,kuwadharau machinga ni dalili tosha....hujui stages za struggle za maisha..Kweli imevamiwa ona kama haka katoto kamekuja kuuza picha ya friji humu jf.
siku nyingine katandaze barabarani machinga wenzio wako barabarani wanauza hadi picha za marais wa Afrika, na wachezaji wa mpira.