Ni mbali sana mkuu,karibia na kongoMkuu unahamia mkoa gani!? Maana siku hizi kuna fuso nyingi tu zinaenda mikoan empty kubeba mizigo, ungetafuta zikusafirishie kuliko kuuza.
Alivyotaja ndivyo anavyoviuza, kama una hoja nje ya tangazo nenda PM.Kitanda, Kabati la nguo vp hivyo hauuzi..
AseeeNimekuja mbio nikajua unauza utumbo, maini, filigisi, figo n.k maana ndo vitu vyako vya ndani....kumbe furniture dah
Umeona kumbe kitanda pia anauza...ila its all gudAlivyotaja ndivyo anavyoviuza, kama una hoja nje ya tangazo nenda PM.
Huu ni mtazamo wangu.
Kitanda 5*6 ni 160,000 mkuu na godoro lake ni 250,000 ...godoro ni zuri na ni tanfoam brand mkuukitanda bei gan
Yap nauza na kitanda....karibu mkuuUmeona kumbe kitanda pia anauza...ila its all gud
niletee hii kitu, me npo Buguruni malapaView attachment 449887 Jiko la gas na mtungi wake ni Tsh 100,000…..(jiko ni la muda kidogo japo linafanya kazi tu vizuri)View attachment 449889
Meza ya Tv inauzwa Tsh 120,000/=
View attachment 449890
Dstv decorder na ungo wake Tsh 60,000/=
nletee kk npo bugurun malapaHabari ndugu zangu,nimepata kazi mkoa flani,hivyo nauza vitu vyangu vya ndani kama ifuatavyo..View attachment 449881
Friji ndogo aina ya samsung 250,000/=View attachment 449884
Makochi mawili(moja la watu wawili,moja la mtu mmoja)...yote mawili ni 130,000/=vitu ipo DSM Kimara Korogwe kwa mama mzaire.
Mawasiliano ni 0625567408
Nauza mkuu,itakuwa 160,000vp kitanda tupu huuzi?
Kuwa serious,sio kila kitu ni utani mkuunletee kk npo bugurun malapa
naomba usikiuze me ntakichukua nadhan baada ya krismas jumatano hivi, je nikifate au utakileta? nipo serious wala co mtu wa utani mmNauza mkuu,itakuwa 160,000