Recent content by Wabulaya

  1. W

    Rais Magufuli umemsikia Trump kuhusu kuwapa uhuru watumishi wako kufanya kazi kwa uhuru?

    Kalime aacha uvivu wa kukaa kijiweni na kulia njaa. Watu dhaifu dhaifu lazima wapungue.
  2. W

    Rais Magufuli umemsikia Trump kuhusu kuwapa uhuru watumishi wako kufanya kazi kwa uhuru?

    They free to express their thoughts but they will be expected to implement Trump plans. So their thoughts are nothing like Trump propaganda Minister Kellyanne Conway
  3. W

    Mbowe aunguruma Ukerewe leo Ijumaa 13/1/2017

    Tumaini is good hata wakristo mpaka leo wanatumain yesu atarudi tena miaka 2017. Na Chadema huenda wakasubiri hayo matumaini muda mrefu. Ila haki haiombwi huwa inachukuliwa kwa gharama yeyote ile. Kama wanahaki chukueoni
  4. W

    Mtatiro: Umefanyika Wizi wa shilingi milioni 369, mali ya chama cha wananchi CUF

    Machozi ya mamba au ya sungura sizitaki mbichi hizi
  5. W

    Obama atoa fundisho kwa Magufuli

    Lowasa hana kazi mbona hajaandika article yeyote au ni kile kibarua cha Gumbaru
  6. W

    Tetesi: Mkoa wa Mara kugawanywa

    Hizi Bangi sasa huyu hajui anachosema na jiography ya wilaya za Tarime na Rorya hazijui ndio maana kaandika uharo huuu acha ujinga mrisya.
  7. W

    Mgombea wa CCM Dimani jitoe, hiyo ni laana

    Immeandikwa nyenyekea kwa wenye uwezo na mamlaka na kutii
  8. W

    Nawakumbusha matokeo ya urais mwaka 2015

    Mgombea wa Ghana hakuwa na makando kando kama huyu wenu. Tafuteni trustworthy people sio mijizi ilishindikani.
  9. W

    Dkt. Slaa: Ninapokubaliana na kutofautiana na Magufuli

    Hakuna nguvu kubwa CDM kwa sasa ni kelele za wapumbavu hazina maana bali maneno Dr Slaa yamejaa hekima na yatasikika milele
  10. W

    Freeman Mbowe: Kauli za Rais Magufuli Kagera hatari

    Nani mwenye ubavu, mzee wa ukuta wa biscuit ametekewa na kuchanganyikiwa, Maumvi na Zero hawampi nondo kama Dr Slaa alivyokuwa anafanya, Mashinji duu,yeye arudi tu kutibu siasa hawezi tena.
  11. W

    CCM walimfanyia unyama Baba yangu mzazi

    Pole Deo ila kuna kazi nyingi za kufanya sio siasa tu, kwa ubunge ni ufalme. Kabla hujavua nguo hadharani tafadhali muone Psychiatric aliye karibu akusadie.
  12. W

    Dkt. Slaa: Ninapokubaliana na kutofautiana na Magufuli

    Kabla ya kuuliza ufahamu wa wenginne jiulize mwenyewe kama unafikiria sawa au uko influenced na mahaba. Pili wewe umeifanyia nini Tanzania hapo ulipo. Ni rahisi sana kutoa lawama kuliko kujiuliza maswali magumu kabla ya kulaumu wegine
  13. W

    Dkt. Slaa: Ninapokubaliana na kutofautiana na Magufuli

    Nyekundu ni narrow gauge na ni sawa na ya reli ya kati. Blue ndio standard gauge
  14. W

    Dkt. Slaa: Ninapokubaliana na kutofautiana na Magufuli

    Dr Slaa wewe ni mzalendo halisi big up.
Back
Top Bottom