Mgombea wa CCM Dimani jitoe, hiyo ni laana

Mzazi anaruhusiwa kumkanya mwanae anayechukua uelekeo potofu.
Baba kaona mambo mengi na wazee ni hazina.Namshauri Jamaa ajitoe kwani Baba ni bora kuliko CCM.
 
Baba mzazi wa mgombea wa CCM ubunge wa Dimani amejitokeza hadharani na kumkana mwanae kuwa hiyo njia aliyoifuata hana radhi nayo kabisa.

Hilo sio jambo la kawaida, ni vema asisubiri kushindwa na kisha kwenda kumuangukia mzazi wake. Yeye ajitoe tuu kwani hata mwasisi wa chama hicho Mwl Nyerere aliwahi kusema CCM sio baba au mama yangu akimaanisha anaweza kuikana lakini hawezi kuwakana wazazi wake.

Laana hiyo! Jiepushe nayo. Mzazi anaona mbali kwa talanta alizopewa na muumba. Na kwa vile kaja hadharani ni wazi alishakuambia faragha hukusikia
Kwa maoni yangu huyu baba hajamtendea haki mwanae kwa sababu siasa sio kama ndoa kuhitaji idhini ya walii, na hata akitoa laana haitamfika mwanae kwa sababu ili kukosa radhi ya mzazi, jambo lenyewe lazima lipate karmic justification kupitia karma. Role ya mzazi kwenye siasa ni advisory only na sio decisive, yaani mzazi ana mamlaka ya kushauri tuu na sio kumuamulia mwanae kama ilivyo kwenye ndoa mzazi anashauri tuu na mwamuzi ni wewe.

Kugoma kusikiliza ushauri wa mzazi hakuleti laana bali kunapunguza tuu ile peace of mind ila akishinda na kuitumia ile dawa ya "penye uzia ",hamtaamizi macho na masikio yenu mzazi huyó huyo akiibuka kumpongeza mwanae!.

Nashauri tusishabikie sana tofauti ya baba na mwanae, hao ni wagombanao tuu na ndio wapatanao mwisho wa siku damu ni mzito kuliko maji, hata kura baba atampigia mwanae na watapatana na kuwa wamoja.

Kuna watu ni kama Waarabu wa Pemba, hujuana kwa vilemba.

Paskali
 
Kwa maoni yangu huyu baba hajamtendea haki mwanae kwa sababu siasa sio kama ndoa kuhitaji idhini ya walii, na hata akitoa laana haitamfika mwanae kwa sababu ili kukosa radhi ya mzazi, jambo lenyewe lazima lipate karmic justification kupitia karma. Role ya mzazi kwenye siasa ni advisory only na sio decisive, yaani mzazi ana mamlaka ya kushauri tuu na sio kumuamulia mwanae kama ilivyo kwenye ndoa mzazi anashauri tuu na mwamuzi ni wewe.

Kugoma kusikiliza ushauri wa mzazi hakuleti laana bali kunapunguza tuu ile peace of mind ila akishinda na kuitumia ile dawa ya "penye uzia ",hamtaamizi macho na masikio yenu mzazi huyó huyo akiibuka kumpongeza mwanae!.

Nashauri tusishabikie sana tofauti ya baba na mwanae, hao ni wagombanao tuu na ndio wapatanao mwisho wa siku damu ni mzito kuliko maji, hata kura baba atampigia mwanae na watapatana na kuwa wamoja.

Kuna watu ni kama Waarabu wa Pemba, hujuana kwa vilemba.

Paskali

Mzazi anawajibika kwa matunzo ya mtoto wake mpaka siku anaingia kaburini.Mzazi akiona mtoto anajenga urafiki na kundi lisilo na maadili yanayompendeza mzazi ana uhalali wa kumuonya.Wazazi wengine hawapendi dhulumati hivyo hawatafurahi kijana wao akijiingiza kwenye kundi kama hilo.Nahisi Mzazi katimiza wajibu wake.
 
Mzazi anawajibika kwa matunzo ya mtoto wake mpaka siku anaingia kaburini.Mzazi akiona mtoto anajenga urafiki na kundi lisilo na maadili yanayompendeza mzazi ana uhalali wa kumuonya.Wazazi wengine hawapendi dhulumati hivyo hawatafurahi kijana wao akijiingiza kwenye kundi kama hilo.Nahisi Mzazi katimiza wajibu wake.
Ni kweli ni jukumu la mzazi kumuelekeza mwanae njia iliyo sahihi as advisory only but not giving orders or dictating terms.

Mtoto akiishatimiza the age of majority, 18, mzazi hana mamlaka ya kumtolea amri mwanae bali ushauri tuu na mtoto ana hiyari kufuata ushauri wa baba au kuudharau na kusubiria hatima ya asiyesikia la mkuu.

Paskali
 
Baba anaweza kushauri tu ila hana haki ya kuchagua chama kwa mwanae! Kila binadamu ana haki ya kuzaliwa kufanya maamuzi yake binafsi bila kushurtishwa na mwingine! Hapo mzazi kapotoka!
 
Baba mzazi wa mgombea wa CCM ubunge wa Dimani amejitokeza hadharani na kumkana mwanae kuwa hiyo njia aliyoifuata hana radhi nayo kabisa.

Hilo sio jambo la kawaida, ni vema asisubiri kushindwa na kisha kwenda kumuangukia mzazi wake. Yeye ajitoe tuu kwani hata mwasisi wa chama hicho Mwl Nyerere aliwahi kusema CCM sio baba au mama yangu akimaanisha anaweza kuikana lakini hawezi kuwakana wazazi wake.

Laana hiyo! Jiepushe nayo. Mzazi anaona mbali kwa talanta alizopewa na muumba. Na kwa vile kaja hadharani ni wazi alishakuambia faragha hukusikia

UKAWA mnataka mtelemko!!!! Mnaota ajitoe mpate mtelemko .Mtaota sanaa
 
Baba mzazi wa mgombea wa CCM ubunge wa Dimani amejitokeza hadharani na kumkana mwanae kuwa hiyo njia aliyoifuata hana radhi nayo kabisa.

Hilo sio jambo la kawaida, ni vema asisubiri kushindwa na kisha kwenda kumuangukia mzazi wake. Yeye ajitoe tuu kwani hata mwasisi wa chama hicho Mwl Nyerere aliwahi kusema CCM sio baba au mama yangu akimaanisha anaweza kuikana lakini hawezi kuwakana wazazi wake.

Laana hiyo! Jiepushe nayo. Mzazi anaona mbali kwa talanta alizopewa na muumba. Na kwa vile kaja hadharani ni wazi alishakuambia faragha hukusikia
Ukoo wa matapeli
 
Tumia akili, Julius hakumpinga wala kumuonya Makongoro hadharani kwani alijua hazikuwa siasa za uhasama. Lakini huyu katoka hadharani na kutamka kuwa kafanya makosa kwani siasa za huko aliko sio siasa ni ushetani dhidi ya binadamu
Mmeanza Mitandaoni nendeni Mfanye kampeni
 
Baba Ana ujuzi gani was siasa? Au ndo mihemko?

Inawezekana haridhishwi na tabia za wanasiasa wa chama alichopo mwanae.Anamchagulia fungu lililojema kama Mzazi.
Hata Mungu anasema Waheshimu Baba na Mama upate heri duniani.
 
Baba mzazi wa mgombea wa CCM ubunge wa Dimani amejitokeza hadharani na kumkana mwanae kuwa hiyo njia aliyoifuata hana radhi nayo kabisa.

Hilo sio jambo la kawaida, ni vema asisubiri kushindwa na kisha kwenda kumuangukia mzazi wake. Yeye ajitoe tuu kwani hata mwasisi wa chama hicho Mwl Nyerere aliwahi kusema CCM sio baba au mama yangu akimaanisha anaweza kuikana lakini hawezi kuwakana wazazi wake.

Laana hiyo! Jiepushe nayo. Mzazi anaona mbali kwa talanta alizopewa na muumba. Na kwa vile kaja hadharani ni wazi alishakuambia faragha hukusikia
Politics,any one can say anything.
Tywin lanister wanted to kill his son Tyrion lanister but at the end Tyrion lanister ended up killing him, that is the game of thrones.
 
Kama kawaida maisha yote baba ndio wa kwanza kumruka mwanawe kwa vijicent kidogo wakipewa. Mbona hatujasikia mama yake huyo mgombea akimkana mwanawe. Na hao wote ni wazazi. Uchungu wa mtoto haswa anajua mama na ndio si rahisi kumuua mwanawe kama huyo mzee. Siasa zetu za kiunguja tunazijua wenyewe ni za unafiki mtupu. Na huyo mzee ni mmoja wao
 
Inawezekana haridhishwi na tabia za wanasiasa wa chama alichopo mwanae.Anamchagulia fungu lililojema kama Mzazi.
Hata Mungu anasema Waheshimu Baba na Mama upate heri duniani.
Mpe kaisari ya kaisari. Habari ya baba kumchagulia mwana nini afanye haifai hata kidogo. Kila mtu amepewa karama zake binafsi. Hizo ni siasa za kishamba kweli kweli na ni aibu kushabikia ujinga huo
 
Nilipoona umemtaja Mwl nyerere nikawa na hamu ya kusoma ili kujua...MAKONGORO ALIPATA LAANA GANI ALIPOGOMBEA ARUSHA KUPITIA UPINZANI KINYUME NA MATAKWA YA BABA YAKE!!!!!!!
Lkn sishangai..ninyi kula matapishi yenu ni kawaida...ni sehemu ya maisha...Maana muda ule mlisema MAKONGORO ni mtu mzima. ..ana hiari ya kuchagua
Lk leo mmegeuka kuwa ni laana...simply amekuwa kinyume na baba yake
Niwaombe mjitahidi kupiga kampeni...TENA KWA KWENDA FIELD. .KULE KWA WANANCHI JIMBONI..SIYO MITANDAONI...HUKU WENGI NI WABONGO TU...HAKUNA KURA YOYOTE HUKU...Ili mkishindwa msiseme mliibiwa kura wakati kampein mlipiga mitandaoni
Ni sawa na babu yenu mwaka juzi..2015 wakati Magufuli anakwenda Vijijin yeye slikuwa anakalia mijini...anatembelea miji mara mbilimbili...Aliposhindwa akapanua domo kuwa kaibiwa kura....
TAZAMA NIMEWAAMBIA KIMBELE
KUWENI MAKINI
Makongoro alishinda?
 
2b4273cd1b4340b92d001b24013d2c7b.jpg
baba yake huyo hapo
 
Baba huyo hajui kuwa mwanae ana umri wa kujitegemea?
Hajui iwapo anavunja katiba ya kila mtu kuamua chama gani ajiunge nacho??
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
Rais Pombe mwenye PhD doubts haiujui katiba sembuse huyu Mzee mkulima wa karafuu
 
Back
Top Bottom