Recent content by Waaldjik

  1. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?

    "Basi wanaume warefu wenye hizo defect wauwawe" Wanatuangusha sana[emoji18]
  2. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?

    Ila wanawake nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa hiyo you guys mjawahi kutana na wanaume warefu na chini mzigo wa maana??
  3. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Tatizo la maumivu makali wakati wa kufanya tendo la ndoa

    Hii inaweza kuwa Vulvodynia. Ni Hali ambayo inamfanya mwanamke kuwa na maumivu makali Sana wakati wa penetration hasa sehemu ya nje wa uke hutokea kwa zaidi ya miezi mitatu au hata miaka kabisa. Hii Hali hutokea na hata akifanya vipimo ni ngumu kujua Chanzo chake. Inawezeka ni irritation ya...
  4. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Mbona Mwarabu amemdharau sana mwanamke kiasi hiki? Tatizo ni nini?

    This is very subjective.
  5. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Natia nia ya kuolewa

    Lipia tangazo
  6. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Bonge la perfectionist

    Watu watakucheka humu, but seriously u need to see a psychologist/go see a doctor.
  7. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

    Naona mlengwa atakua na Paranoid disorder, tabia ya kuwashuku watu wengine kwa mlengo wa kutaka kumdhuru. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Hodiiiii

    Naam! Madengenyou karibu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Post mortem results are gradually revealing the pathophysiology of covid 19 diseases

    Tupe link mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Waaldjik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada laptop yangu inawaka lakini screen inaonesha weusi nini tatizo kwa anaejua please.

    Cheki RAM aisee Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Nilipigwa na kufukuzwa Msibani

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe jamaa umenichekesha sana. Vipi mapenzi yako kwa nyama yamepungua baada ya tukio hilo? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Watu wanaosemekana kupata korona na baadaye kupona, je hawawezi ipata tena?

    Unaweza kupata tena. Kama mafua tu. Ukiyapata hayakufanyi uwe immune usiyapate tena Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Hili suala la kipimo pekee cha COVID-19 kuwepo Dar peke yake ni changamoto kubwa sana. Inawezekana maambukizi yakawa mengi zaidi!

    Sijui hata hicho kilichoandikwa hapo kwenye screenshot yako uliyoituma kama umekielewa wewe mwenyewe. Hizo kit bado hazijawa approved FDA na hatuwezi jua juu sensitivity yake au specifity yake kwa sasa? How would u want to believe those kits? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Waaldjik

    JamiiForums Tanzania Hili suala la kipimo pekee cha COVID-19 kuwepo Dar peke yake ni changamoto kubwa sana. Inawezekana maambukizi yakawa mengi zaidi!

    Naomba nikusahihishe kidogo, HAIKUCHUKUA SIKU TATU MAJIBU YA VIPIMO KUTOKA NI KAMA SIKU MOJA TU. SABABU: Yule mama kaingia on 15th March, then akajisikia vibaya akaenda hospitali, vipimo vikachukuliwa na on 16th March, yaani kesho yake ambayo ni jana akathibitika kuwa na maambukizi ya virusi...
Back
Top Bottom