Nilisema tangu awali kuwa sijibu tusi kwa tusi, ukiandika hoja tutajadili, kwa kuwa huwezi kujenga hoja endelea kuandika kiingereza na kutoa tafsiri, huenda hiyo kazi ndo unaiweza zaidi
Unafikiri wenye nyadhifa zao wanaofanya mambo muhim ya nchi hii wanatafuta kujulikana hapa JF? Na kupoteza muda wao kutoa matusi kama hayo unayoanza kuporomosha?
Mimi si mtu wa kujibu matusi, ni mtu wa kujenga hoja,
Ripoti gani inaandaliwa halafu inaachwa tu hovyo hovyo na kuonwa na mtu anayepita pita?
Haya ni mawazo yako binafsi, hiyo ilikuwa kick ya kuletea kutuambia eti ni report ilofanywa na taasisi ambayo huwezi hata kuitaja
Acha ukweli ubaki kama ukweli! Kwani kuna uongo katika hilo? Raised naye ni binadam nao ukumbuke wakati walim wanayasema hayo walikuwa hawaiambii taasis, walimwambia JK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.