Tafuta mashirika binafsi upeleke CV yako na uombe nafasi kama intern/volunteer ili angalau upate experience wakulipe au wasikulipe bado itakunufaisha wewe. Angalia pia ajira portal huwa zinatoka nafasi za maafisa maendeleo ya jamii halmashauri tofauti tofauti. Usimsahau Mungu, omba sana...
Angekua yeye ndio ana shida angekubali kama mke wake angemwambia na yeye anataka mtoto wa tumboni make? Au mwanamke angeambiwa awe mvumilivu Mungu ndio anatoa watoto.
Wazazi wengi wanalipa pesa nyingi watoto wao wasome hizi shule zenye school bus lakini wengi hawafanyi ufuatilizi wa usalama wa huo usafiri kwa watoto wao.
Mungu awapumzishe wote waliopoteza maisha kwenye ajali hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.