Nampenda mpenzi wangu ila ni chibonge

Nampenda mpenzi wangu ila ni chibonge

Kama mmeunganishwa na kusudi ,yaani kuna mambo hayapo katika uhalisia lakini yeye anayona sawa na wewe unavyoona

Anza naye joging kidogo kidogo na umuhamasishe kwa kufanya nae pamoja kwa upendo
Nimekupata mkuu, ila jinsi ya kumwambia.
 
Aki! Wanadamu huwa haturdhki, angekuwa chikondee kama me hapa ungemuanzishia uzi "mpenz wangu n chikonde, nifanye nn apate nyama. Nahitaj msaada wa haraka meli inaelekea kuzama"

Kuna wanaopenda vbongee na kuna wanaopenda vkondee, muhimu n kuchukua anayegusa moyo wako ili safar usione n ndefu.
 
Aki! Wanadamu huwa haturdhki, angekuwa chikondee kama me hapa ungemuanzishia uzi "mpenz wangu n chikonde, nifanye nn apate nyama. Nahitaj msaada wa haraka meli inaelekea kuzama"

Kuna wanaopenda vbongee na kuna wanaopenda vkondee, muhimu n kuchukua anayegusa moyo wako ili safar usione n ndefu.
Si ndo hapo kuna mwingine akiona haya matairi ya tumbo ye ndo burudani anachanganyikiwa mwingine hapendi

Mtoa mada Anatuvuruga tu kumuacha hataki ila anaomba ushauri 😅😅
 
Yanakukera ndo mana umekuja kuomba ushauri huku. Ingekuwa hayakukeri kama unavyojinadi kwa commnt wampenda, bs ungenyamaza kimya na ukamuonyesha upendo yeye tu.

Nyie ndiyo wasumbufu Kwa wadada wa watu wanapojifungua watoto, kutwa kumletea michepuko. Muache mapemaaaaaa kabla halijakukuta jambo. Vipotabo wapo kibao.

Lakini kumbuka DUNIANI HAKUNA MTU MWEMBAMBA. Akiamua kunenepa ananenepa tu, ata awe skeleton kiasi gn. So chunga kauli zako na matamanio yako.
 
Ila chibonge, tumbo ni kubwa nyama uzembe , nishaurini mana hakuna mkamilifu.

Kuwa na hao mabonge ni raha kweli haswa wakati wa kuifunua funua hiyo minyama kipindi cha kuitafuta mbususu...

Unakuwa kama unapekua 'baibo' unakitafuta kitabu cha ufunuo wa Yohana...
 
Kuna mmoja nilikuwa namwona anafaa kuwa mke, lakini alivyozidi kuwa chibonge nikaanza kumkwepa.
 
Nimekutana na mwanamke huyu msomi ana tabia njema , anajua mapenzi, anajua kupika, ana sura nzuri, ana umbo zuri akivaa nguo,

Ila chibonge, tumbo ni kubwa nyama uzembe , nishaurini mana hakuna mkamilifu.
Picha iko wapi sasa
 
Ukiona hauoni ufahari kuongozana na bonge lako, piga chini. Kwenye mapenzi hakuna kuoneana huruma kila mtu anaangalia maslahi yake.

Kwa sisi tusiowaelewa mabonge yani kudate bonge ni kama kudate demu mwenye mapengo.
 
Nimekutana na mwanamke huyu msomi ana tabia njema , anajua mapenzi, anajua kupika, ana sura nzuri, ana umbo zuri akivaa nguo,

Ila chibonge, tumbo ni kubwa nyama uzembe , nishaurini mana hakuna mkamilifu.
Ana umbo zuri at the same time unasema ana manyama uzembe
 
Achana na matitwatipwa mie najua tabu yakeee
Hamna kitu hapo,hapo umejiletea mzigo ndani
 
Nimekutana na mwanamke huyu msomi ana tabia njema , anajua mapenzi, anajua kupika, ana sura nzuri, ana umbo zuri akivaa nguo,

Ila chibonge, tumbo ni kubwa nyama uzembe , nishaurini mana hakuna mkamilifu.
Mshawishi muende gym na pia kubadili pattern ya msosi
 
Nimekutana na mwanamke huyu msomi ana tabia njema , anajua mapenzi, anajua kupika, ana sura nzuri, ana umbo zuri akivaa nguo,

Ila chibonge, tumbo ni kubwa nyama uzembe , nishaurini mana hakuna mkamilifu.
Sasa ushasema hakuna mkamilifu, kama unalijua hilo endelea nae, panga ratiba za mazoezi nae atapungua
 
Bila picha ya huyo bonge nyanya hii ni chai
 
Umesema anaumbo zuri, akivaa nguo anapendeza at the same time tumbo kubwa jamani mvumilie mwenzio
 
Dah inamaana ulivokua namtongoza ulikua huoni kama ni kibonge? Muache atapata atapenda na ukibonge wake usitafute excuse ya kuja kumtesa mbeleni, katafute flat tummy huko wapo kibao 😒😒


Umetukosea sana vibonge
Labda bidada alivaa belt wakati wa mtongozo date 😂😂
 
Back
Top Bottom