UTAFITI : Wanawake wanapenda kujifungua kwa 'Operation'

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Imegundulika kwamba, wanawake (hasa hawa mabinti) wanapenda sana kujifungua kwa njia ya upasuaji badala ya njia ya kawaida.

Lengo lao ni kutunza maumbile /u-sichana wao kwa ajili ya kuwavutia wanaume. Sababu ya pili ni kukwepa uchungu wakati wa kujifungua...

Na mbaya zaidi, inasemekana wao ndo huongea na wauguzi ili recommendation itoke ya kujifungua kwa upasuaji.

Mabinti hawaogopi kujifungua kwa njia ya upasuaji, ndo maana unakuta mtu anazaa watoto maximum 2 tu biashara imeisha.
 
Kitambo sana! Mpaka imerasimishwa siku hizi hata madaktari hawaulizi tena.
 
Wanawake wa leo hawazai kwa uchungu ilihali bado wanaume wanakula kwa jasho

Wamejitahidi kuepuka ile laana ya Mwanamke wa kwanza Eva, lakini wakapata nyingine ya kupungiziwa miaka ya kuishi.
 
Ni mawazo tuuu potofu yamewagandq. Mtu ana miaka 42 ahangaike na kusukuma teena akose mtoto teena. Anaona bora apasuliwe tuu apate mtoto kwa uhakika.
 
Kama Mungu atanijalia uzao, basi kujifungua kawaida ndiyo itakua nzuri zaidi labda ikitokea changamoto ambayo hamna jinsi nyingine basi,

Nnavoogopa mavìsu vile aargh bora natural birth tu, Kuhusu maumbile over watoto wangu wazuri basi sitojali sana nishakua mama maumbile waachie mabinti huko.
 
Kama Mungu atanijalia uzao, basi kujifungua kawaida ndiyo itakua nzuri zaidi labda ikitokea changamoto ambayo hamna jinsi nyingine basi,

Nnavoogopa mavìsu vile aargh bora natural birth tu, Kuhusu maumbile over watoto wangu wazuri basi sitojali sana nishakua mama maumbile waachie mabinti huko.
Asee kumbe bado........acha nije pm
 
Hii mada naiona inatembea sana. Kwani mtu akijifungua kwa operation haitwi mama? Au inampunguzia nini? Si bado
Alimbeba mwanae kwa miezi tisa. Sasa wale Surrogate mtawasemaje jamani.
 
Nimepitia njia zote mbili kuzaa kawaida na upasuaji

Sidhan Kama kauli ya kuepuka uchungu iko sahihi,Kwan ukizaa kwa upasuaji maumivu yake Ni makubwa na Muda mrefu hasa katika kuuguza kidonda pamoja na maumivu ya mgongo yanayojirudia Mara kwa Mara, Tena na maumivu ya mshono hasa wakati wa baridi.

Maumivu ya uchungu yanavumilika na yanakwisha haraka tu ukijifungua.

Wadada wengi wanajali kutunza maumbile yao Ila wanasahau Kuna maumivu endelevu baada ya upasuaji.

Na uzur wa kuzaa kawaida maumbile hurud katika Hali yake tofaut na tunavyodanganyana mitaani.
 
Nimepitia njia zote mbili kuzaa kawaida na upasuaji

Sidhan Kama kauli ya kuepuka uchungu iko sahihi,Kwan ukizaa kwa upasuaji maumivu yake Ni makubwa na Muda mrefu hasa katika kuuguza kidonda pamoja na maumivu ya mgongo yanayojirudia Mara kwa Mara, Tena na maumivu ya mshono hasa wakati wa baridi.

Maumivu ya uchungu yanavumilika na yanakwisha haraka tu ukijifungua.

Wadada wengi wanajali kutunza maumbile yao Ila wanasahau Kuna maumivu endelevu baada ya upasuaji.

Na uzur wa kuzaa kawaida maumbile hurud katika Hali yake tofaut na tunavyodanganyana mitaani.
Issue wengi wanadhani upasuaji hauumwi kabisa ila yale maumivu hapana aiseee unaweza usirudie tena kuzaa.
 
Back
Top Bottom