Recent content by wa stendi

  1. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Hapana
  2. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Kuna tetesi ngoja nizifanyie kazi....
  3. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Kitoto cha mbwa miezi mitatu

    Mchome sindano ya pafo huyu mdq si mrefu ukichelewa unamkosa
  4. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Ubungo: Kila bodaboda, Bajaji anayepaki kwenye kijiwe anatakiwa kulipia ada ya Tsh. 36,000 kwa mwaka

    Hili nalo ni chanzo la mapato kwa serikali. Je zitafika?
  5. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Atachiliwa jana tec washamwambia mama amwachie
  6. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Je! Ni one mistake, one goal au kuna mpango nyuma?

    Yaani kitendo cha makamu Rais kumtembelea mstaafu ambaye kila manung'uniko mabaya yako kwake kimezidi kushangaza pale wawili hao kuonekana ,pamoja na maneno kuwa makamu kaandika barua ya kujiuzulu mara kagoma yaani hakuna kinachojulikana kulikoni.. Kitendo cha makamu kwenda kumtembelea...
  7. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Project mbalimbali za kuibomoa CHADEMA zimefanikiwa kiasi gani?

    Hii yote yule mwenyekiti alieenguliwa na mwanae wanashiriki balaa kuhakikisha inayumba
  8. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Na manyumbu wanaamini
  9. wa stendi

    JamiiForums Tanzania VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

    Ushakua sawa hata mie ulikua unasumbua
  10. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Kuna pombe inatwa smatgin na ingine kisungura sio sungura kufugwa
  11. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Cha buku kisungura
  12. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Hivi mnasoma habari huko x mnatuletea huku ili muonenakane mko mstari wa mbele kujua habari zaidi kumbe mnabashiri tuu. Aliekuambia kakamatwa ni nani. Serikali ya tz ilivyo na kiherehere kutangazi siku nyingii ingeshatanganza.huyu dada yupo na anawachora tuu
  13. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Figo kuanza kufeli: Fahamu dalili na tiba yake ya mimea

    Mmm..basi kashakata tamaa ya kuishi. Mbembelezi sana
Back
Top Bottom