Recent content by wa stendi

  1. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Ukimya wa familia ya Nchimbi unashangaza

    Sasa kama alikuwa anaishi ndani ya nyumba ya serikali chini umya ulinzi wa serikali geti kali familia yake hata mwandishi wa habari haruhusiwi kuingia kwenda kuhoji (ulinzi umeimarishwa )na wao pia huenda hawajamwona baba %ndugu yao na hawajui wanzie kusemea wapi .. Yaani familia inaishi kama...
  2. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Utamu wa wakubwa!!

    Ndo nini hiyo huna hata picha
  3. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    Mi nikifa nikifika huko juu nitasilimu nitaends kuwa muislamu iki nikabidhiwe bikra hizo
  4. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufika ukweni nilichokiona

    Huko itakuwa bukoba
  5. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Leo nimemkomesha huyu mpangaji mwenzangu.

    Huja komessha umemtia hasara na ataendelea vilevile kuanika
  6. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Je, kweli JF iko salama?

    Sasa wewe umesimami wapi maana hata wewe ni kama sisi na jina feki
  7. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Mambo ambayo mwanaume akifanya Mwanza/ Usukumani, jamii yote itamshangaa

    Kule kwetu mwanaume upate jando alafu eti wazee waache kukutengenezea mchanganyiko wa damu mbichi na maziwa mtindi labda hao wazee ni aibu ya ukoo mzima.
  8. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Nchimbi yuko wapi? Serikali na CCM tunataka majibu

    Subiri usikie "kafia hospital fulani"alikukuwa anapatiwa matibabu baada ya kujiskia vibaya
  9. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Leo nimemkomesha huyu mpangaji mwenzangu.

    Akili ya pombe hiyo.. Ingekuwa bangi ingekutuma ukanunue manila ya buku (kama ile ya mafundi ujenzi)unafunga kamba yako kiroho safi .ona sasa kesho unaamka na kurudia mi nguo michafu kuvaa tena na joyo la daresalam hili sipati picha ukitoka jasho na mipombe yako hiyo hiyo harufu sasa kaa beberu
  10. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Bastola tangu ninunue sijawhi hata inyooshea mtu
  11. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Mungu alisahau kutuweka miguu iwe ina shika kitu kama nyani

    Yale ni mengineyo hata wewe sa hivi ukivua nguo ukatembea uchi unamuonekano huo vile vile ukiinama
  12. wa stendi

    JamiiForums Tanzania CDF Mkunda: JWTZ ni Jeshi lao Wananchi, waendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi lao

    Nasikia hapo mapinga bagamoyo ni kama kibiti vile watu wanapasuliwa balaa
  13. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Utamu wa wakubwa!!

    Ndio ipoj hiyo sisi wa mbuchimayi hatuijui. Kwetu tushazoe unamwingiza katikati ya mgomba na mgomba unqmqloza hapo hapo
  14. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Mungu alisahau kutuweka miguu iwe ina shika kitu kama nyani

    Hilo sio sababu ilitakiwa katikati ya mguu pale panajikunja na vidole viwe virefu ili mtu kama anapasuka kuni aweze kushika mpini wa shoka kwa miguu na kupasua hivi au kamajuu ya miti unajishika kwa miguh alafu mikono inaendelea na kazi ingine kama nyani vile😆
  15. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Mungu alisahau kutuweka miguu iwe ina shika kitu kama nyani

    Ni zaii ya vyote
Back
Top Bottom