Sasa kama alikuwa anaishi ndani ya nyumba ya serikali chini umya ulinzi wa serikali geti kali familia yake hata mwandishi wa habari haruhusiwi kuingia kwenda kuhoji (ulinzi umeimarishwa )na wao pia huenda hawajamwona baba %ndugu yao na hawajui wanzie kusemea wapi ..
Yaani familia inaishi kama...
Kule kwetu mwanaume upate jando alafu eti wazee waache kukutengenezea mchanganyiko wa damu mbichi na maziwa mtindi labda hao wazee ni aibu ya ukoo mzima.
Akili ya pombe hiyo..
Ingekuwa bangi ingekutuma ukanunue manila ya buku (kama ile ya mafundi ujenzi)unafunga kamba yako kiroho safi .ona sasa kesho unaamka na kurudia mi nguo michafu kuvaa tena na joyo la daresalam hili sipati picha ukitoka jasho na mipombe yako hiyo hiyo harufu sasa kaa beberu
Hilo sio sababu ilitakiwa katikati ya mguu pale panajikunja na vidole viwe virefu ili mtu kama anapasuka kuni aweze kushika mpini wa shoka kwa miguu na kupasua hivi au kamajuu ya miti unajishika kwa miguh alafu mikono inaendelea na kazi ingine kama nyani vile😆
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.