Yaani kitendo cha makamu Rais kumtembelea mstaafu ambaye kila manung'uniko mabaya yako kwake kimezidi kushangaza pale wawili hao kuonekana ,pamoja na maneno kuwa makamu kaandika barua ya kujiuzulu mara kagoma yaani hakuna kinachojulikana kulikoni..
Kitendo cha makamu kwenda kumtembelea...
Hivi mnasoma habari huko x mnatuletea huku ili muonenakane mko mstari wa mbele kujua habari zaidi kumbe mnabashiri tuu.
Aliekuambia kakamatwa ni nani.
Serikali ya tz ilivyo na kiherehere kutangazi siku nyingii ingeshatanganza.huyu dada yupo na anawachora tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.