Recent content by wa stendi

  1. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Shishangiai kwa nyie upande wa pili dini yenu inaruhusu naona mnaoleana hadi binam
  2. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Vifo vilivyoniumiza JF

    Na bado kuna wengine mashada yalishaliwa na mchwa mimi wala wewe hatuwajui ila walikuwepo humu
  3. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

    Aisee....
  4. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Nauza Taser mashine ya kujilinda inapiga shoti vibaka wezi na watekaji usikose kwa usalama wako

    Hicho mhalifu wako hadi umguse nacho kama unapima umeme au mwanga ndio ukiwasha kummulika ndio una short
  5. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Je ! Nikifunga plug 2 kwenye wire mmoja nikachomeka kwenye switch socket ya njia 2 nikawa sha nini kitatokea?

    Yaani kwa mfano nikachukua wire labda miter 2 au tatu na top plug 2 nikafunga plug moja huku na nyingine huku alafu nikapachikq kwenye swichi socket ya njia 2 alafu nikawasha je!nini kitatokea?
  6. wa stendi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Ngoja nijifute machozi kwanza.. Kitendo cha kusema nguvu ilotumika siku ya maandamano iliendana na tukio pale pale nilipatwa na wasiwasi kua kahusika kwa kiasi kikubwa
  7. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Tujihoji kwa busara: Kuwapeleka Gen Z kwa lazima JKT kutaepusha kama yaliyotea Oktoba 29 au ndio itachochea zaidi? Maana tatizo sio uzalendo

    Wengine mbona mtani wako kibao? Ebu siku serikali iamue labda kuwaita waripoti kikosi fulani uone kama kitaenea walivyo wengi
  8. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Acha iwe hivyo kila mwenye nguvu achukue mbao zake mwenye kukosa akose
  9. wa stendi

    JamiiForums Tanzania NINI MAANA YA SUNNAH?

    Sasa kama ni hivyo mbona kwa mfano tunakula ukimkaribisha anakuambia (nakula kidogo tuu suna)na kweli anaonja alafu anaacha
  10. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Mtego kwa Chadema

    Huyo heche mwenyewe ccm wanamwogopa kuliko kwa misimamo yake
  11. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha chama kuongozwa na mtu ambaye yupo gerezani kwa makosa ya uhaini ni dhahiri kwamba ubongo wa Mwafrika bado upo analogy

    Kwa kifupi hawakutaka lissu awe mwenyekiti Hata kuzuiwa kwake ni michongo
  12. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    Ulianza vizuri umemaliz vibaya
Back
Top Bottom