Recent content by wa stendi

  1. wa stendi

    Sina neno, jioneeni wenyewe

    Ngoja nitoe vitu kwenye gari kwanza ndo kwanza nimefika homu
  2. wa stendi

    CHADEMA: Jaji Mkuu aeleze sababu za kesi ya uhaini ya Tundu Lissu kutosikilizwa

    Kwa kifupi lisu atanyanyaswa kisaikoloji hadi akili zimruke
  3. wa stendi

    Kwanini kila Rais mpya akiapishwa, Obasanjo huja Tanzania?

    Ni mwakilishi wa freemason kwa hapa afrika mashariki na mgawa Pete bila hivyo ikulu hakuta lalika na lazima nchi yogote Africa Rais akishaapishwa tuu jamaa awasili
  4. wa stendi

    Hatimaye Nyanda aachiwa akiwa hai

    Kwani alitekwa au alikamatwa kawaida
  5. wa stendi

    Jana nilikutana na mimi

    Navutaga bange lakini hii yako imenizidi
  6. wa stendi

    Hivi kwa nini tanesco upande wa luku wasiwe wanakopesha kama mitandao ya simu .

    Sawa kunakua na limit ya kiasi cha ukopaji ikivuka labda wiki bila kulipa wanabloku mita hadi deni lilipwe
  7. wa stendi

    Hivi kwa nini tanesco upande wa luku wasiwe wanakopesha kama mitandao ya simu .

    Na tena waweke limit ya ukopaji labda isizidi elfu 5,au kama kuna deni mita ijipini hadi lilipwe alafu wapewe kodi ya kuifungu kama inavyotempa unapewa namba au wanakuja wanakufungulia. Hili linawezekana sana tena ni simpo mno
  8. wa stendi

    Hivi kwa nini tanesco upande wa luku wasiwe wanakopesha kama mitandao ya simu .

    Kabla hajakopa au kabla hajapewa meseji ya maombi iende kwa mwenye nyumba ndio aidhinishe
Back
Top Bottom