Recent content by Wa Nsambuki

  1. W

    Harmonize atoa wimbo mkali kumsifu Rais Magufuli

    Good dancing tune, good lyrics, good scenery and photos! Ni bora kuliko nyimbo nyingine ambayo maneno yake ni matusi. Hongera sana kijana, wanaokosoa wana yao, si wapenzi wa music. Ngoja ninyanyuke niselebuke.
  2. W

    Rayvany hauna Mke hapa

    Kijana tutake radhi haraka sana. jisemee mwenyewe na dada zako au wapenzi wako. Mama yako pia anavaa kitenge! Wanawake wawili watatu waliokuchuna wasituharibie majina, wanawake wengi tuna mapesa yetu tumechuma kihalali kabisa. Nikisena wanaume wote hawafai-kwa namna moja au nyingine wewe...
  3. W

    Mtoto wa Lowassa, Robert Lowassa (Bob) afunga ndoa leo na Stephanie Kaaya (Steph)

    Bwana andikaga jina kamili, ndoa ya Bob na Steph ndio nini sasa?. Mimi nilishtuka kidogo kuwa toka lini ndoa ZA hivyo zikafungwa Tanzania? Kama ninyi yeru au dada ni Stephanie andika him a lote.
  4. W

    Watanzania wauawa Somalia, yumo Mahad Nur wa City Mall

    Mhm, makubwa. Kwa miaka 3 Mimi na familia yangu tulisherehekea mwaka mpya Paradise Hotel Bagamoyo.Nilisifia sana jinsi wananvhi walivyoamka kuwekeza cchini, kumbe so wazawa! Tunasikitika sana kwa misiba, na kuona RIP. Ila kwa upande wa uwekezaji imeshtua kidogo. Wazawa tupo wapi? Mambo makubwa...
  5. W

    Watanzania wauawa Somalia, yumo Mahad Nur wa City Mall

    Aliyetaka kugombea is also alikuwa anaitwa Fadumo Dayib, sio huyu.
  6. W

    Nikienda Nje ya nchi nalaini hii yangu naweza piga simu!

    . Pole sana. Ukiingia Wi-Fi basi unaweza kutumia communications za kwenye mtandao kama whatsapp, messenger, na hata Skype. Hizi zote utawasiliana bure na wenye whatsapp, messenger au Skype. Baki kupiga simu namba ya kawaida itabidi ununue line mpya. Nchi nyingi line sio ghali. Achana na...
  7. W

    Ndoa zimekuwa 'kaa la moto', wanaume hawashikiki tena

    bwana Igwee, jisemee mwenyewe, usiwapake matope wanaume wote. Mnaweza kuwaza kwa kufanana lakini Mwenyezi Mungu kawajalia utashi tofauti!
  8. W

    Ndoa zimekuwa 'kaa la moto', wanaume hawashikiki tena

    Thank you Haven Sent! Nawachachafya wanangu na wajukuu, si unajua tena! Naona waandishi wengine humu humu wakiwapiga madongo kina mama ati wana vitambi, najiuliza kwani imekuwaje? Miaka yote wababa si ndio walikuwa wanaongoza kwa vitambi, hata mikanda kufunga inazidi kupaanda kifuani! jamni...
  9. W

    Ndoa zimekuwa 'kaa la moto', wanaume hawashikiki tena

    Mwenzangu, Pole. Mimi nina ndoa ya muda mrefu sana,(miaka 30) na nimekusikia na kukuelewa., lakini ninachokukatalia ni kuwa, tusilaumiane wanawake, tuwalaumu wanaume. Mimi makubaliano yangu, na contract yetu nilichukulia ni mimi na mwenzangu, na kwamba ukitoka nje, nikajua, basi imetoka! Sasa...
  10. W

    Sina uhakika na mimba hii kama ni ya mchepuko au mume

    Scientifically, this is may or may NOT be true. reasons: The first man might have oligospermia or azoospermia (Low or no sperm count in semen), Or the egg might not have reached the time for fertilization; hence the first encounter does not lead to fertilization. On the other hand, if the egg...
  11. W

    Sina uhakika na mimba hii kama ni ya mchepuko au mume

    Ndugu yetu, tazama majibu na matusi uliyopewa. Ninaamini kuwa hakuna kosa lisilosameheka, lakini kweli waweza fanya kosa la namna hii na ukaja ukalianika kwenye mtandao? Uaminifu ni hazina, lakini ukishindwa kuwa mwaminifu angalau tumia busara. Yaani hata kumlinda kidogo huyo mr. wako...
  12. W

    Atakayeweza Swali Hili La "complex Number'' Adv Math

    Mmh, mazito haya, kwa heri, nilikuepo :)
  13. W

    Sikujua kama ni mke wa mtu

    Sasa unajua. Tumia busara, usiulize majibu wala kutafuta sababu kama wewe ni muungwana kweli. Ma binti wazuri wasiolewa wapo wengi.
Back
Top Bottom