Huku kwetu marangu hatujawahi kupata kadhia ya maji tangu nizaliwe na umri wangu huu miaka45 maji yako mengi tena tunakunywa maji safi baridi kutoka mlima kilimanjaro. Na kila mtu ana bomba nyumbani kwake hakuna mtu anaenda kwa mwenzake kuchota maji kila mtu ana bomba lake alafu hatunaga mita...
Kama una iman nawe kumbuka hata ibra alijaribiwa ndo mana anaitwa baba wa iman.shetan nae alipata ruksa kutoka kwa mungu ili amjaribu ayoubu hata shetan alimjaribu yesu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.