Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,809
- 218,463
Kama tulivyoahidi hapo awali kwamba , Elimu hii ya Umuhimu wa Katiba Mpya na kampeni ya kuokoa Bandari za Tanganyika , hakuna kijiji tutakachokiruka , ndivyo tunavyofanya , bado tunatembea kwenye maneno yetu .
Leo Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amefika Busisi , kule kunakojengwa daraja la Busisi , ambako kunatajwa kama Ukweni kwa Naniliu
,Akiwa huko pamoja na elimu Kabambe ya Katiba mpya na kueleza kuhusu Ubovu wa Mkataba wa Bandari , Lissu amewataja watu watatu kama madalali wakuu wa kuuza Mgodi wa Bulyankulu , watu hao ni pamoja na Benjamini Mkapa aliyekuwa Rais wa Tanzania , Tumainiel Kihwelu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga na Dr William Shija aliyekuwa Waziri wa Madini .
Hivi ndivyo ilivyokuwa