Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Lakini umebaki salamaLeo Dar es Salaam mida ya saa nane Hadi kumi mchana kulikuwa na upepoo mkali na vumbi pia
Lakini umebaki salamaLeo Dar es Salaam mida ya saa nane Hadi kumi mchana kulikuwa na upepoo mkali na vumbi pia
Saivi ndio umerudi kweli. 😳 We ni jirani yangu nini?Ila umerud
Nenda kwa sigi hapo kwa juu kidogo ukazoe kama una njaa kaliChakula kinaliwa ukiwa na njaa ki 🐕
nadhani pale maeneo ya Kirinjiku hapapitiki kwa sasa, maana sio kwa upepo uleWanaopita ule ukanda wa Same wachukue tahadhari kubwa

Kama kimbau mbau tulia ndani kwako usije ukatuletea mengine.


Marangu au mkuuniHuku nilipo kuna radi sana ⛈️⚡ kila mtu kajifungia ndani na umeme umekatika.
Na mjini kamepiga kamvua kakizushi sema saivi shwari kumetulia.Nimepita Boma upepo mkali sana, nimesimama Sadala nahisi hatari mbele, vumbi la kutosha ukileta ujinga unaaga mashindano kijinga.
Hapa napo upepo umekata hali imekuwa shwari kabisaNa mjini kamepiga kamvua kakizushi sema saivi shwari kumetulia.
Nilipiata jana nikitokea Korogwe pana upepo mkali sana maeneo yale nikasema huu upepo unaweza kuzalisha umeme wa Tozo wakapata maeneo ya kuongezea Tozo tena maana wataweka kipengele cha Tozo ya umeme wa Upepo.....Wanaopita ule ukanda wa Same wachukue tahadhari kubwa
Hata sumbawanga upepo ulikuwa mkali kinomaHuku Namanyere Nkasi mkoa wa Rukwa nako kulikuwa na upepo mkali usio wa kawaida leo
Sure, ijapokuwa vumbi na mchanga changa kwa machoLakini umebaki salama
Wadada nao hawajijui, yaani upepo unatusadia wao wanazuia madela yasipeperukeUpepo unapeperusha pesa au sketi za wadada...
Joke
kwani tatizo uje Moshi tule Bata



au sio?? Moshi sehemu gani? Naona Mungu anataka niolewe na watu wa kaskazini!!! Mpk kitaa wanaume wanaonitaka wa huko kwani kuna shida gani???Nawa usoSure, ijapokuwa vumbi na mchanga changa kwa macho
Naunga mguu hoja.Kuna haja ya serikali kuwahamishia wachaga wote msomera na maeneo hayo yote walikohamishwa wapewe DPworld wajenge mahoteli ya kitalii na bandari kavu.