Hizi nafasi ni za kuchaguliwa kwa hiyo anayechagua ana haki ya kumchagua anayemtaka sasa kosa lipo wapi? Tubadilishe katiba nafasi zote za kazi wanaopenda waombe na wafanyiwe usaili kama Kenya japo wanafanya kiduchu. Vinginevyo Zitto serikali ya umoja wa kitaifa ipo Zanzibar sio bara.Hata hivyo...
Umenena vizuri sana ndugu lakini safari yoyote huanza na hatua moja. Hatua ya kwanza tumeshaanza yaani madawati tutafute hatua ya pili nafikiri iwe ni kujenga vyoo vya kutosha hatua ya tatu kujenga maabara na kutoa vifaa vyote vya kufundishia projectors, computers charts, pamoja na madaftari...
Tizama, ni Tanzania tu ndio utapata viongozi ambao walikuwa madarakani na miongo miwili au mitatu na baada ya kustaafu ndio wanakwenda kusoma. Huwa najiuliza hivi tulikuwa tunaongozwa na viongozi ambao walikuwa hawajasoma? au wamesoma nusu na nusu wanamalizia wakishastaafu? wenzetu kiongozi...
Ndugu yangu kuna msemo wa kiswahili unaosema "kwa shujaa kulikwenda kilio na kwa mwoga kulibaki kicheko" hakuna ushujaa unapoweka rehani maisha ya vijana wasiokuwa na hatia wanafuata mkumbo tu na wanaofaidi wapo pembeni.
Jamani kwa nini matatizo yetu yanaongezeka kila siku? Hivi kuongea kiingereza ni uhodari? Una maana huyu Mheshimiwa kwenye Viva Voce ya PhD alitumia kiswahili kuwasilisha Thesis yake? Acheni hizo .Mimi ningekuunga mkono kama ungesema Rais apunguze hizi kodi za nyumba property tax na zingine...
Jamani tuache majungu ndio maana mlipiga kelele na kulaani sana sukari ilipoadimika sasa leo imejaa na haina mnunuaji. Mimi nina watoto wangu wapo serikalini na ni Chadema na Cuf wa kikweli kweli sababu ni viongozi kwenye vyama vyao, sijasikia wakilalamika kwamba wanatengwa au kunyanyaswa
Ni vema Bavicha wasitanie waende tu huko Dodoma kwani hata wabunge wa Ukawa hawakutania walifunga plasta na bungeni walitoka wakisema wao hawakufuata posho lakini leo wanakwenda mahakamani kudai posho. Mungu mkubwa lile pengo la madawati tutapata fedha kutoka posho za wabunge wa ukawa jee kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.