Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,094
eeehhh!!hivi suala la ufupi au urefu wa mtu, unene au webamba vinaweza kuwa mjadala?
eeehhh!!hivi suala la ufupi au urefu wa mtu, unene au webamba vinaweza kuwa mjadala?
ushawahi kumuona wapi mkinga mrefu?aisee! kumbe dr.Tulia ni mrefu hivyo. amefanya viongozi wengine hapo mstari wa kwanza waonekane shotii zaidi! hata mh. Msigwa ni kama vile anamshangaa.
Remember that, UKIMUONA MTU YOYOTE ANAMSHABIKIA NYWELE NYEUPE ANATAKIWA AKAPIMWE AKILI by Msingwa!!!View attachment 365961
Ni katika viwanja vya Karimjee leo wakati bunge likimkabidhi Mh. Rais madawati kwa ajili ya watanzania
Mh. Mbunge wa Iringa alionekana akiwa kwenye ratiba hiyo na hata kupiga picha na Mh. Rais pamoja na wabunge wengine.
Kinachonishangaza ni vijana wa CCM na CHADEMA wanapomponda na kubeza kitendo hicho ambacho kinaonekana kwenda tofauti na msimamo wa chama chake, baada ya CHADEMA kutangaza msimamo wake kwa kutoshirikiana na serikali ya Chama cha Mapinduzi.
Msimamo huo ulianza wakati wa vikao vya bunge la bajeti vikiendelea Dodoma pale walipoonyesha msimamo wao wa kutoshirikiana na naibu spika na kuanza kususia vikao vya bunge ambapo ilifika mbali hata kisusia wabunge wa CCM na hata kupeana salamu na katika mwezi mtukufu wa ramadhani walisusia futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu pamoja na spika wa bunge
My take:
Huu ni wakati wa kuwa wamoja katika shughuli za maendeleo kwa watanzania.....tofauti za kichama zisituwawe watanzania
Naungana na Mh. Msigwa pamoja na watu wote wanaounga mkono utaifa kwanza vyama baadae.
Nimevurunda wapi mkuuuMy take ya mtoa mada amevurunda
Mbona nyie ndio mliojaa roho mbaya!
Kumbe hata wewe umegundugau hili! pamoja sana[emoji109]aisee! kumbe dr.Tulia ni mrefu hivyo. amefanya viongozi wengine hapo mstari wa kwanza waonekane shotii zaidi! hata mh. Msigwa ni kama vile anamshangaa.
Lakini Tulia amepandamsigwa anataka kumfanyia nini tulia mbona anamkodolea sana macho
Mnafikiri mnamgombanisha na UKAWA ....HUYU alikuwa pale kama kamishina wa Bunge ,,,,,basi
View attachment 365961
Ni katika viwanja vya Karimjee leo wakati bunge likimkabidhi Mh. Rais madawati kwa ajili ya watanzania
Mh. Mbunge wa Iringa alionekana akiwa kwenye ratiba hiyo na hata kupiga picha na Mh. Rais pamoja na wabunge wengine.
Kinachonishangaza ni vijana wa CCM na CHADEMA wanapomponda na kubeza kitendo hicho ambacho kinaonekana kwenda tofauti na msimamo wa chama chake, baada ya CHADEMA kutangaza msimamo wake kwa kutoshirikiana na serikali ya Chama cha Mapinduzi.
Msimamo huo ulianza wakati wa vikao vya bunge la bajeti vikiendelea Dodoma pale walipoonyesha msimamo wao wa kutoshirikiana na naibu spika na kuanza kususia vikao vya bunge ambapo ilifika mbali hata kisusia wabunge wa CCM na hata kupeana salamu na katika mwezi mtukufu wa ramadhani walisusia futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu pamoja na spika wa bunge
My take:
Huu ni wakati wa kuwa wamoja katika shughuli za maendeleo kwa watanzania.....tofauti za kichama zisituwawe watanzania
Naungana na Mh. Msigwa pamoja na watu wote wanaounga mkono utaifa kwanza vyama baadae.
mbona jpm wenu ndiye kinara wa ubaguziView attachment 365961
Ni katika viwanja vya Karimjee leo wakati bunge likimkabidhi Mh. Rais madawati kwa ajili ya watanzania
Mh. Mbunge wa Iringa alionekana akiwa kwenye ratiba hiyo na hata kupiga picha na Mh. Rais pamoja na wabunge wengine.
Kinachonishangaza ni vijana wa CCM na CHADEMA wanapomponda na kubeza kitendo hicho ambacho kinaonekana kwenda tofauti na msimamo wa chama chake, baada ya CHADEMA kutangaza msimamo wake kwa kutoshirikiana na serikali ya Chama cha Mapinduzi.
Msimamo huo ulianza wakati wa vikao vya bunge la bajeti vikiendelea Dodoma pale walipoonyesha msimamo wao wa kutoshirikiana na naibu spika na kuanza kususia vikao vya bunge ambapo ilifika mbali hata kisusia wabunge wa CCM na hata kupeana salamu na katika mwezi mtukufu wa ramadhani walisusia futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu pamoja na spika wa bunge
My take:
Huu ni wakati wa kuwa wamoja katika shughuli za maendeleo kwa watanzania.....tofauti za kichama zisituwawe watanzania
Naungana na Mh. Msigwa pamoja na watu wote wanaounga mkono utaifa kwanza vyama baadae.