mi wavyo sema mkajiajili.huwa naelewa kwamba wanamanisha tukajiajili kupitia elimu tuliyo ipata shuleni.na siyo kwenda kufanya kitu kingine tofauti na carie yakk
mtoa mada unamtazamo mzuri sana kuhusu kufika mbari kimaisha.tatizo umekosea kutoa siri ya malengo yako jf ndio sehem walipo wasomi wengi kuliko mitandao mingine ya kijamii ukiachana na linked in.na kama unavyo jua bongo wengi tunasoma ili tuajiliwe na siyo kutoa ujinga kama wenzetu wanavyo...
Habari Wana JF,
Adhabu inasemaje kwa mtu ambaye amekamatwa na baadhi ya vitu vya wizi. Je, anatakiwa kulipa vyote au kurudisha hivyo alivyo kamatwa navyo?
Kisa kipo hivi, kuna mtuhumiwa alikamatwa na vitu vya wizi ye akadai aliuziwa lakini ushahidi ulikuwa unaonesha aliiba kesi ilikuwa ni ya...
wanao jishughulisha na biashara ya julma msaada tafadhari wa bidhaa zinazo toka kwa halaka ikiwezekana wekeni na bei ili niangalie uwezekano wa kufanya biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.