Madhara ya kukosa choo kwa muda mrefuWadau siku za nyuma nilikuja hapa na tatizo la kukosa choo, tumbo kujaa gesi. Tatizo mpaka leo bado lipo. Na mwezi ulioita nimefanyiwa kipimo cha OGD Endoscopy...
Na kati ya ulivyotaja hapo ndizi ndio kiboko yao, hasa ndizi mbivu ambazo hazijaiva sana(zenye ukijani kwa mbali)Kama ilivyo pengine wewe au ndugu,jamaa na marafiki wanatatizo hilo basi wajuze hiki..
Ahsante bossPole sana mkuu
Tusubiri wataalam waje