Ushauri: Mhitimu nimepata wazo la kujiajiri jamani

Kama unapenda ulichosomea nadhani itakua vyema kujiendeleza kupitia hicho kuliko kuanza career mpya.
Hapo ulipo tayar una mtaji wa ujuzi ulopata chuoni.

Ushauri: Tafuta jinsi ya kuendeleza career yako.
 
Kama unapenda ulichosomea nadhani itakua vyema kujiendeleza kupitia hicho kuliko kuanza career mpya.
Hapo ulipo tayar una mtaji wa ujuzi ulopata chuoni.

Ushauri: Tafuta jinsi ya kuendeleza career yako.
Mkuu carrier yangu bado haijaniruhusu kujiajiri nimesoma diploma ya nursing and midwifery
 
Ko unataka kunambia wewe huwezi fanya chochote kwa hiyo diploma yako!
Unasubiri serikali au?
Kwanini usome kitu ambacho huwezi kukifanya mwenyewe?
Au ulilazimishwa?

All in all anza kuuza viatu ila ujue utasahau vingi vinavyohusu nursing na midwifery sababu hivyo vitu vinataka practice ili uwe mzuri.
Mzee kujiajiri sio kazi ndogo
Ingekuwa kirahisi ivo graduates wengi wange kua wametoboa.

Sasa hivi hata kazi za kujitolea bure kulinda fani yako hupati mkuu, imekuwa ishu sana,
 
Ko unataka kunambia wewe huwezi fanya chochote kwa hiyo diploma yako!
Unasubiri serikali au?
Kwanini usome kitu ambacho huwezi kukifanya mwenyewe?
Au ulilazimishwa?

All in all anza kuuza viatu ila ujue utasahau vingi vinavyohusu nursing na midwifery sababu hivyo vitu vinataka practice ili uwe mzuri.
Shule ni sehemu ya maisha na shule si sehemu ya kukufanya uwe na Maisha.

Nimesoma hivyo kama itatokea ajira sawa ila sio suala la kuanza kulia lia wakati hali halisi inaonekana mkuu.


Asante kwa ushauri.
 
Mzee kujiajiri sio kazi ndogo
Ingekuwa kirahisi ivo graduates wengi wange kua wametoboa.

Sasa hivi hata kazi za kujitolea bure kulinda fani yako hupati mkuu, imekuwa ishu sana,
Ninavyoongea hivi sio kwamba nimekaa kitandani napiga mzigo wa kueleweka biashara ila sio yangu so ninajua A Z ya biashara kwa kiasi na sio sana japo na mimi nishawahi kufanya biashara nilipoliwa chuoni
 
Kwa juisi hujanishawishi broo Angalia vitu common kwenye maisha ya watu, yani kitu ambacho mtu hawezi ishi bila hicho mfano mzuri ni msosi na mavazi.
 
Ko unataka kunambia wewe huwezi fanya chochote kwa hiyo diploma yako!
Unasubiri serikali au?
Kwanini usome kitu ambacho huwezi kukifanya mwenyewe?
Au ulilazimishwa?

All in all anza kuuza viatu ila ujue utasahau vingi vinavyohusu nursing na midwifery sababu hivyo vitu vinataka practice ili uwe mzuri.
Bilashaka umeandika ukiwa unakata gogo

Mutumie ubongo kabla ya kuandika
 
mtoa mada unamtazamo mzuri sana kuhusu kufika mbari kimaisha.tatizo umekosea kutoa siri ya malengo yako jf ndio sehem walipo wasomi wengi kuliko mitandao mingine ya kijamii ukiachana na linked in.na kama unavyo jua bongo wengi tunasoma ili tuajiliwe na siyo kutoa ujinga kama wenzetu wanavyo amini.kwahiyo kama ulitegemea kupata elim jf ktk upande wa kujiajili umekosea hii siyo sehem sahihi
 
Ko unataka kunambia wewe huwezi fanya chochote kwa hiyo diploma yako!
Unasubiri serikali au?
Kwanini usome kitu ambacho huwezi kukifanya mwenyewe?
Au ulilazimishwa?

All in all anza kuuza viatu ila ujue utasahau vingi vinavyohusu nursing na midwifery sababu hivyo vitu vinataka practice ili uwe mzuri.
Hasubiri serikali ndio maana kajiongeza, wanaosubiri serikali wapo wamerelax wanapitia pitia pages za ajira mitandaoni

Huyu kaamua ajiongeze, ajiajiri, unataka kuniambia kwa hiyo pesa yake aliyonayo kwa hicho alichosomea kinatosha nini?

Mleta Uzi ukipata sehemu nzuri kabisa juice ni Bora zaidi kuuza hasa wakati huu wa joto Kali

Ukikosa hiyo, wazo la pili ni jema Sana
 
Fanya biashara ya crypto currency especially BITCOIN ni most profitable.kama hauijui Bitcoin jaribu kujifunza Kama hujui kwa kufanyia biashara for aid contact me 0622714603
 
Back
Top Bottom