Kama hutaki kulipa hiyo hela zingatia taratibu za Shule.
Mimi nadhani changamoto ingekuwa endapo mtoto hajahudhuria shuleni na mzazi alishatoa taarifa kisha akalazimishwa kutoa hicho kiasi cha pesa, hoja yako ingekuwa na mashiko.
Nina Nguruwe(Wakienyeji) ni mwezi wa Sita now, ila bado sijaridhishwa na ukuaji wao. Huwa nawapa Pumba za mahindi za kutosha. Sijui unaweza kunishauri niongeze nini ili kuboresha ukuaji wao?
Habari za muda huu wadau?
Nina tatizo la Tumbo "Kunguruma" linalonisumbua kwa muda mrefu sasa. Hali hii hunitokea zaidi wakati wa usiku, na siku za karibuni limeanza Kunguruma hata nyakati za mchana.
Naomba msaada wa dawa ambayo ninaweza kuitumia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.