wa hapa hapa
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 281
- 150
Habari za muda huu wadau?
Nina tatizo la Tumbo "Kunguruma" linalonisumbua kwa muda mrefu sasa. Hali hii hunitokea zaidi wakati wa usiku, na siku za karibuni limeanza Kunguruma hata nyakati za mchana.
Naomba msaada wa dawa ambayo ninaweza kuitumia.
Nina tatizo la Tumbo "Kunguruma" linalonisumbua kwa muda mrefu sasa. Hali hii hunitokea zaidi wakati wa usiku, na siku za karibuni limeanza Kunguruma hata nyakati za mchana.
Naomba msaada wa dawa ambayo ninaweza kuitumia.