Recent content by VYEMELO

  1. V

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Azizi Ki aliona jiwe akipiga penati

    Uk Uko sahihi. Mwathirika nambari 1 ni Aziz Ki. Inaonesha m'bongo Hamissa atakuwa anampelekesha mchakamchaka kwelikweli, maana concentration yake ya kawaida akiwa uwanjani imeshuka mno.
  2. V

    JamiiForums Tanzania Motion Pictures Za Wazee!

    Mbona images hazifunguki? Habari haina maana sasa!
  3. V

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Mzee Mwakasege husisitiza sana Kuokoka ktk mafundisho yake. Sina shaka ktk semina hii atawahubiria na kuwafundisha wakarismatiki juu ya Wokovu wa kweli na Kuokoka. Wakarismatiki wanadai na wanaamini wameokoka, jambo la kusiktisha bado wanamwomba Maria (aliyekuwa mama wa kimwili wa Bwana Yesu...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Ally Dangote auawa jijini Arusha

    Siyo wananchi "wenye hasira kali" walijichukulia sheria mkononi na kumuua, taarifa hapo juu inasema ni askari polisi ndio waliomuua kwa risasi baada ya kuruka kutoka kwenye gari lao akijaribu kuwatoroka. Hata hivyo, kwa habari za kijana huyu, namna alivyokuwa akitekeleza uharifu, alipaswa...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Lagos inanuka uchafu na Rushwa!

    Wewe ukiona watu wako tayari kufa maji almradi wafike Ulaya; watu wanasambaa na kulowea kwenye Nchi nyingine, siyo kwamba (wanaijeria) wanapenda kulowea, shida na mustakabali usio wa uhakika ktk Nchi yao ndiyo unawafanya kukimbia kwao. Waethiopia, wasomalia, hali kadhalika. Tz tuko vizuri.
  6. V

    JamiiForums Tanzania Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

    Hapana. Lazima vyama vya upinzani viingie kwenye uchaguzi ili kupata nguvu ya kupambana na chama tawala. Mawazo na msimamo wa adv. Mwabukusi ni sahihi, lakini, si sahihi sana kwa wakati huu. Mapambano katika uwanja ya vita lazima kubadili mbinu za medani mara kwa mara kutokana na wakati na...
  7. V

    JamiiForums Tanzania Nadhani Chongolo na Kinana wanashangaa tu!

    Ivumayo haidumu.
  8. V

    JamiiForums Tanzania Uroho wa madaraka waendelea kuitafuna CHADEMA

    Acheni umbea na kuchonganisha watu. Lissu ktk suala la uongozi, alisema, yeye kama mwanachama ana haki (na wajibu pia) ya kuchagua na kuchaguliwa ktk nafasi yoyote ya uongozi kwa mujibu wa Katiba ya Chadema; lakini pia, kuhusu kupeperusha bendera ya Chadema kwenye nafasi ya urais 2025, alisema...
  9. V

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ingilia kati utoaji wa mikopo mwaka 2023. Kwa Trend hii ya HESLB, wengi hawatakwenda vyuoni

    Nyinyi wasomi wa vyuo vikuu wa miaka na siku hizi, hovyo kabisa. I.Q. zenu mmejikita kujifunza na kuimba nyimbo za akina Diamond, Kiba, n.k., kushabikia Yanga, Simba, Man City, n.k., "uchawa" kwa Chama tawala, uasherati, na kadhalika. Hayo ndiyo maeneo mumebobea. Kuwa "think tank" ya nchi, ...
  10. V

    JamiiForums Tanzania Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

    Wazinzi hawataurithi ufalme wa Mungu (Ufunuo 22:15).
  11. V

    JamiiForums Tanzania Afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Botswana anaonekana mitaani na mahakamani mkoani Kilimanjaro akizurura na gari la Ubalozi!

    Hapana! Hayo ni matumizi mabaya ya pesa za umma. Hata hivyo inaonekana mangi huyo ni mshamba, unaendeshaje gari umbali mrefu huo na ndege ulaya zote hizi?
  12. V

    JamiiForums Tanzania Upigaji wa Fedha za Umma mamlaka zimeshindwa kuzisimamia au wapigaji wanashirikiana na mamlaka?

    Niliwahoji vijana wapatao 10 wa Chuo kikuu kuhusu hali hii na siasa kwa jumla nchini. Inasikitisha mtazamo na msimamo wao. Wote kumi wanamuunga mkono Rais Samia pamoja na CCM ktk hatua za kupambania uchumi anazochukuwa. Hawawaelewi kabisa Chadema na Sauti ya Watanzania akina mzee Dr. Slaa na...
  13. V

    JamiiForums Tanzania Kula kila dalili kuwa uchaguzi 2025 Mbowe na Samia watakuwa timu moja

    Hakuna kitu kama hicho. Unaota.
  14. V

    JamiiForums Tanzania Kula kila dalili kuwa uchaguzi 2025 Mbowe na Samia watakuwa timu moja

    Mwanawane, kwa sasa sioni Chama au movement yoyote iliyo na ubavu wa kuiondoa CCM.
  15. V

    JamiiForums Tanzania Kula kila dalili kuwa uchaguzi 2025 Mbowe na Samia watakuwa timu moja

    Haya ni maoni na mtazamo binafsi, tusimhukumu na kumtusi.
Back
Top Bottom