Wewe ukiona watu wako tayari kufa maji almradi wafike Ulaya; watu wanasambaa na kulowea kwenye Nchi nyingine, siyo kwamba (wanaijeria) wanapenda kulowea, shida na mustakabali usio wa uhakika ktk Nchi yao ndiyo unawafanya kukimbia kwao. Waethiopia, wasomalia, hali kadhalika. Tz tuko vizuri.