Recent content by Vupu

  1. Vupu

    Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

    alafu , acheni kutuletea mada za kusadikika hapa .. lini hawa dog WA america wakafanya mission bila NATO?
  2. Vupu

    Msaada: Tangu nimeanza kupata mshahara nimekuwa mlevi sana. Nawezaje kuacha?

    Mimi mwenyewe nimekuwa mnywaji sana .. hizi pesa za mshahara hazifai kutegemea kwa maendeleo sijui zina nini
  3. Vupu

    Barabara zilizojengwa chini ya Rais Magufuli kwa kipindi cha miaka mitatu tu

    acha uongo wew ... sumbawanga to kanazi mpka kibaoni haijajengwa na awamu hii wadanganye wasiojua tu .. Mimi ni mmoja WA mashahidi .. imejengwa na American people awamu ya kikwete na pinda
  4. Vupu

    Ukweli kuhusu hifadhi mpya ya Burigi- Chato

    namimi naanzisha kahifadhi kangu huku nkasi .. nileteeni wanyama basi
  5. Vupu

    Maandamano makubwa ya kumpongeza Rais Magufuli. Burigi Chato national park

    Amri toka kwa nani ? ujuaji mwingi mbele Giza .. NEC tuondoleeni huyu mtu
  6. Vupu

    Baadhi ya wanyama wahamishiwa hifadhi ya Burigi

    tulidhani jamaaa atakuwa wa mfano sasa amekuwa wa kutengwa fikra zake
  7. Vupu

    TBC hovyo kweli wamekatisha Bunge kujiunga Ikulu

    hivi yule yeye peke ake ndiye mmiliki wa TBC?
  8. Vupu

    Je, ni kweli mgombea Urais CCM 2025 ni Dr. Bashiru Ally Kakurwa?

    hebu tutoleeni maajabu yenu hapa , huyo hafai hata kidgo
  9. Vupu

    Je, ile juhudi kubwa ya Rais JPM kutafuta Flash katika Koti lake la Suti angeihamishia katika hili tusingefanikiwa?

    hivi najiuliza kwani ilikuwa lazima atoe kaflash mbele za watu?
  10. Vupu

    Huenda Rais Magufuli akawa ameumaliza rasmi ule ubishi wa Chuo Kikuu gani bora kati ya SAUT na UDSM

    mi nadhani tatizo ni wasomi wanaotoka udsm kujipendekeza kwa ccm
  11. Vupu

    Hakika Watanzania Tuna bahati

    yaan sijui unaandk nn
  12. Vupu

    Elimu ya Tanzania ni pasua kichwa

    tatizo ni MTU mmoja tu
Back
Top Bottom