sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,129
Tatizo sio mshahara, hiyo ni tabia ya fedha ilivyo, yaani kazi ya pesa ni kukufichua tabia yako ya ndani, hivyo kwa mshahara huo unaweza kujijua una tabia gani zilizojificha, hivyo pambana na hali yako.Wakuu hivi kwanini tangu nimepata hii kazi nimekuwa mlevi sana?
Natamani sana kuacha ulevi lakini nashindwa, ushauri wenu wakuu. Pesa zote za mshahara naweza kumaliza kwenye ulevi
Tafadhali atakaonipa dawa nakufanikiwa nitamzawadia.
Asante